Daah...huku anagonga huku anakula?Kwa kweli mzazi ni mzazi tu, Simba alitakiwa asimpotezee kiivyo mzee wake, alitakiwa amwezeshe hata laki 3 au laki 5 kila mwez kupoza ugumu wa maisha. Badala yake Anko kaja juzi tu anafaidi kila kitu yani kwa maza penzi na kwa mtoto matumizi.
Bro yule simuiti mzee ni mdingi tu tunakaribiana miaka chochote analilia anastahili wamemvunjia heshima sana,Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..
Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..
Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....
Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..
Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..
Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....
Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..
Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
DNA yeyewe kwenye hii maabara iliyopima papai na kulikuta na virus vya corona?Jamani Wanawake kumbe ni Viumbe hatari sana! Wanaume ukipata mashaka na Mtoto wako,chukua nenda kimyakimya pima DNA alafu kaa kimya na Majibu yako kichwani!!
Ni kweli mkuu hizi situation zinakwaza mno hawa wanawake ndio mama zetu lakini ndio mashetani wakubwa wanaweza kukupandisha au kukushusha muda wowote usipokuwa makini kwenye haya maisha.Malezi ya mzazi mmoja mtoto huwa analaumiwa bure tu baadae.Tena afadhali hata mzazi mwenyewe awe baba ila akiwa mama maneno ambayo atamjaza mtoto unaweza dhani huyo baba ni mbadala wa shetani,yani unaweza hisi hakuna mtu mwenye dhambi kama huyo baba.Ndo haya yanayomtokea jamaa na bahati mbaya sana kwake yeye Mama yake ndo Kila kitu,anaona heri akwaze dunia lakini si Mama yake na yuko sawa tu.
Umefikiria mbali mkuu, wajikumbushie tajiri wa zimbabwe marehemu ginimbi uhusiano wake na wazazi ulikuajeNafikiri kuna sababu kubwa imejificha nyuma ya yote haya... Hizi mali hizi ukute ni masharti ya mganga.
Nilikuwa natafakari uliyoandika, nikakuta kuna like 30 zimegongwa, na mimi nagonga yanguNimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..
Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..
Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....
Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..
Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..
Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....
Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..
Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Hili tukio linashabihiana na nyimbo ya Stamina Ft Prof Jay.Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..
Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..
Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....
Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..
Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..
Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....
Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..
Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Diamond + management team yake + wasafi.. ni wapumbavu sana kweli hili jambo.. na kama wote wama mshambulia mzee Abdul. Mungu atawalaani wanavyo mnyanya mzee wa watu kisaikolojiaNimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..
Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..
Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....
Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..
Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..
Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....
Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..
Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Dogo mseng.e sana.. atalaanika mseng.e yule diamond..Kama sio kiki dogo ni mpuuzi
Diamond + management + family + wasafi.. akili zina matope, ni kama wameanzisha vita na mzee Abdul.. wana mshambulia na kumzalilisha bure. Maskini hashambulii tajiri, na ukiona tajiri anamshumbulia maskini, ujue lengo lake kubwa ni udhalilishajiMkuu mimi ni mwanamke mwenye 60+ katika kuishi kwangu nimeona matukio mengi sana ya kina mama wanapo gombana na wenza wao kazi kubwa wanayo fanya ni kuotesha chuki kati ya baba na watoto wake, hasa kipindi watoto wakiwa bado wadogo, kwa hivyo watoto wanajua baba ni mtu mbaya na asiyefaa!! Kwa hili, bi Sanura amefaulu, ila Nassib kama ana akili anatakiwa atambue kuwa mama yake ana walakin. Amtambue mama yake kama mwanamke mwenye ndimi mbili. Ulimi mmoja unatamka Abdul, na mwingine unatamka Nyange!!! Jambo la kuchekesha Abdul alitamkwa tangu akiwa mdogo, utu uzima anatamkwa Nyange!!!
Mama aling'ang'ania mtoto, baba akaona isiwe tabu niondoke. Huwezi ishi ma mtu anaenda tomb.wa nje anarudi asubuhi hiyo ni dharauBaba d kasema aliondoka akawaacha. Sasa si aliondoka anataka iweje Tena mtoto ndo anaanza form one??
Ingia kwa dada wa Taifa utaelewa kwa nini wanatumia nguvu kubwa?Diamond + management + family + wasafi.. akili zina matope, ni kama wameanzisha vita na mzee Abdul.. wana mshambulia na kumzalilisha bure. Maskini hashambulii tajiri, na ukiona tajiri anamshumbulia maskini, ujue lengo lake kubwa ni udhalilishaji