Diamond anunua Iphone kwa mara ya kwanza

Bado sijaelewa, kwamba unashangaa Chibu kununua IPhone au???

Then, una uhakika gani kama ni yake? Japokuwa ana uwezo wa kununua hizo zaidi ya 1OO lakini sio kila unachomuona nacho mtu ni cha kwake
 
Bado sijaelewa, kwamba unashangaa Chibu kununua IPhone au???

Then, una uhakika gani kama ni yake? Japokuwa ana uwezo wa kununua hizo zaidi ya 1OO lakini sio kila unachomuona nacho mtu ni cha kwake

Nilitaka kusema labda anafanyia promo lakin come on iPhone they need no promo , itakua tu ni yake , c unajua domo uswahil Uko kwenye damu, hvyo vitu wanatakiwa wafanye akina juma lokole sio yeye
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha khaa[emoji23][emoji23], mie tena binamu , umbea Ndo kazi yangu , hata akiwa anacharge nitawaambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka had mbavu znauma lol, kua wee ndo system [emoji366]? Uwiiiiiiiih
 
Ina maana hujui kuwa iphone zinamilikiwa na watoto wa zari,mwenyewe alisema hashobokei huko.

Kulikua na povu kali la waja hasa team chuchunge
 
Natamani niwaone wanazengo maana sio kwa majibu hayo, watu wana midomo kama nini[emoji23][emoji23], usikute ukimuona mpole mwenyewe halafu mme wa mtu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We fala kwel πŸ˜πŸ˜πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…