Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

heeeee heeeeeee unaweza zimia kwa hili bango aiseeeee

Ahahahaaa we huoni kama ni ajabu?yaani kurumbembe zina ashki majinun sijawahi kuona dina wallah!khaa!mpaka unashangaa hivi wananini na sisi?!jibu ni moja tu...Joto lao limepanda na linahitaji kushushwa kwa namna yeyote ile!!!
 
Ahahahaaa we huoni kama ni ajabu?yaani kurumbembe zina ashki majinun sijawahi kuona dina wallah!khaa!mpaka unashangaa hivi wananini na sisi?!jibu ni moja tu...Joto lao limepanda na linahitaji kushushwa kwa namna yeyote ile!!!


na Hilo joto wa kulishusha hayupo sasa,nishawajua sasa kumbe ni hicho kinawasumbiuaaaa,,pole zap
 


jaman taratibu naona Kuna ban ishanukia wanapaniki mno tatizoo loo,dawa kali mno
 


nimekushusha dume Zima unalimwa ban khaaa kisa haya maswala khaa!!umepaniki mpaka malimau yamedundaa,aisee umeniaibishaaa aiseeee
 
na Hilo joto wa kulishusha hayupo sasa,nishawajua sasa kumbe ni hicho kinawasumbiuaaaa,,pole zap

Tena joto kali mwenzangu sio kidogo!mbwa anapokuwa period ashki yake inakuwa juu sana!na hapo ndipo anapopandwa na dume la mbwa!sasa najaribu kuoanisha hizi tabia za shobo na za dog naona kama zinaelekea kuendana hivi

Ila moja lilikuwa linahangaika sana na ashki,nimelipanda sasa kidogo limetulia
 
Humu JF tuna kila aina ya jinsia!tuna mashoga ambao baadhi wameshakiri ila wengine bado naona wanavunga vunga kujitaja!!tuna watafuta mabwana humu,tuna vilaza na shobo mbinuko ziko humu!kila watu tumo humu,wenginebndio kazi yao hii tangu asubuhi.

Uuwiii Kim wee eti shobo mbinukooo...hehehee
 
Nanyie wa jf.mtununulie hata midoli ya gari basii
 


yaan kwa promo sikuweziii,,,hhhhhhaaa yaan unanifurahisha balaaa duuu kwa hiyo mod wakuonee we naniii humu jf teh teh teh teh,,,,
Kumbe upo Facebook ndio maanaaaa ,,,dawa imekuingiaaa sindano imezama yotee yarabii duuuuuuu poleee,ila navyokuaminiaga umeniaibisha sanaaa kitu kidogo umepaniki uwiiii mwanaume Una Moyo mdogo HIV utaweza kuacontrol familia kweli khaaa!!!!
matumbo njoo uone rafiki yako huku ni shidaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…