Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
heeeee heeeeeee unaweza zimia kwa hili bango aiseeeee
Ahahahaaa we huoni kama ni ajabu?yaani kurumbembe zina ashki majinun sijawahi kuona dina wallah!khaa!mpaka unashangaa hivi wananini na sisi?!jibu ni moja tu...Joto lao limepanda na linahitaji kushushwa kwa namna yeyote ile!!!