Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

May be niulize swali kivingine. Do you have to choose a side?

Hapo ndio sijaelewa.

Haya enjoy bongo music
 
Hahahahaaa, pls inatosha jamani maana kichwa kinaniuma sasa...
Leo sijui uko katika mood gani maana kila bomu unalotoa ni balaaa.

Kinachonisikitisha humu kuna kina dada sina shaka na elimu zao lakini inakuwaje wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi?

Mtoto wa Bakhresa akiupload picha kama hiyo hakuna maswali ni vitu vidogo sana hivi kwao lakini huyu mswahili sasa ameamuwa kuwadharau mashabiki wake kwamba ni kundi la mazuzu yasiyokuwa na tofauti na mabehehewa kinapoelekea kichwa na wao ni huko huko hobelahobela tu.

Naanza kuamini rasmi Lowasa ndio Rais wa awamu ya tano maana wapiga kura ndio hawahawa wasiotumia hata sekunde ya kuhoji na kudadisi.
 
Watu wanamaudhi duniani!!! Baada ya fitina za kutompigia kura kumalizika KTMA baby kaona ampoze mchuchu kwa Lamboghin!!! Haya hizi hasira mkimkosesha na hizi za MTV naona baby atashusha Private Jet
 

Hahahahaaa. ....zaidi ya taabu.
 


unajitahidi kuandika magazeti hu hu hu hu hu
 
Ataendeshea wapi na barabara zetu bumps kila sehemu?
 
Ha ha ha if you can't beat them confuse them. Sasa hata Davido wataacha kumpigia kura wataanza kubishan akma Ferrari Zari kamnunulia Diamond au la. Wakimaliza hiyo wataanza kutukanana kuulizia kama Ferrari ni original au Feki. Wakimaliza watakuja watasema Ferrari imenunuliwa kwa hela za sembe:becky:. Safi sana Diamond just confuse them. Haters are secret admirers. Hapa hata kupiga kura kwa Davido watasau.:becky: Aisee shule za kata zimezalisha vitu vya ajabu sana. Sasa wapo Instagram wengi hata kinggreza hawajui
 
nashangaa wenye akili wamejichanganya na wasio na akili hu hu hu hu hu hu,badala waende majukwaa ya wenye akili hu hu hu hu

Haaaaaaaaaaa wakafie mbeleee......

Maana kina Mwajuma tumegoma kuelewa kabisaaaa
 
hiyo video yamoto band...sijuii hatudanganyikiii kura bado zinapigwaaa ama ninii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…