Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Utandale ukizidi ni bora uamie hata Mwanza
Hahahahaaa, bora uhamie wapi eti?
Wewe nae ukiamua kunichekesha unafanyaga hadi sifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utandale ukizidi ni bora uamie hata Mwanza
Hii ni habari njema hasa kwa serikali yetu iliyofirisika TRA wakamue half half yao, kama si michezo yetu ile ya kuigiza.
Mimi baby wangu kaninunulia boxer am very proud of her.
Ndo maana huwa watu wanasema. Siku zote story ina sehemu mbili. Sehemu ya pili imetokea sasa na picha ya mwenye gari.
Watanzania bana walikuwa washawatisha watu. Mi nikajiuliza sasa ataileta lini huku apige watu fimboz kumbe gari ya kupigia picha
Nikimbie mjini kisa nini? Jaribu kuwa serious bwana...
Kama domo kapewa gari na mpenzi wake mimi inanihusu nini?
Hayo ni maisha yao binafsi ambayo mimi hayanihusu..
Balaa lipo kwenye mziki tu, ambako sina wasiwasi maana niko sehemu sahihi na kwa mtu sahihi...
Nae si mwingine bali King Kiba.
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.
Kwa kiswahili hii kauli ina maana gani?:confused2::confused2:
.........................................
![]()
Hivi Le Mutuz bado hajapost insta tu? Maana yeye ndiye katibu wa mapenzi yao...
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.
Ushahidi kwamba kanunuliwa hiyo Lambo na Zari uko wapi?
Au mkishaona mtu kapiga picha na kitu tayari mnameza hook, line, and sinker?
Haaaaaaa kwani nani kanunaaaa
Nauliza nani kanunaaaaa
Mtego mdogo wanacheza na akili za wajinga wajinga,kwanza kapost bila maelezo,ila nimepata habari video inatengenezwa,sasa hivi vidada vinaingia kichwa kichwa,ndo wale wanaopelekwa kwenye magheto ya masela
Kweli mmeshibana
According to his instagram account, Diamond claimed to receive this from Zari...
mim nimenuna hapa natamani kupasuka kama lemtumbozzzz hhhhaaa
Hivi, huwezi kuwa unapenda wanamuziki wawili ama watatu tafauti? Yaani kwenye muziki wa bongo unampenda kiba tu kama ndoa vile? Mnajinyimaga uhondo wala hamjastukia tu
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.
Tunavote kama kawa ama neneeeee