Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Kaka wanasemaga usililie uzuri, lilia bahati. Kupendwa raha sana.

Nimekukosa tu
Hii ni habari njema hasa kwa serikali yetu iliyofirisika TRA wakamue half half yao, kama si michezo yetu ile ya kuigiza.

Mimi baby wangu kaninunulia boxer am very proud of her.
 
Ndo maana huwa watu wanasema. Siku zote story ina sehemu mbili. Sehemu ya pili imetokea sasa na picha ya mwenye gari.
Watanzania bana walikuwa washawatisha watu. Mi nikajiuliza sasa ataileta lini huku apige watu fimboz kumbe gari ya kupigia picha

Hivi Le Mutuz bado hajapost insta tu? Maana yeye ndiye katibu wa mapenzi yao...
 
Hivi, huwezi kuwa unapenda wanamuziki wawili ama watatu tafauti? Yaani kwenye muziki wa bongo unampenda kiba tu kama ndoa vile? Mnajinyimaga uhondo wala hamjastukia tu
Nikimbie mjini kisa nini? Jaribu kuwa serious bwana...
Kama domo kapewa gari na mpenzi wake mimi inanihusu nini?
Hayo ni maisha yao binafsi ambayo mimi hayanihusu..
Balaa lipo kwenye mziki tu, ambako sina wasiwasi maana niko sehemu sahihi na kwa mtu sahihi...
Nae si mwingine bali King Kiba.
 
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.

Mtego mdogo wanacheza na akili za wajinga wajinga,kwanza kapost bila maelezo,ila nimepata habari video inatengenezwa,sasa hivi vidada vinaingia kichwa kichwa,ndo wale wanaopelekwa kwenye magheto ya masela
 
Kwa kiswahili hii kauli ina maana gani?:confused2::confused2:
.........................................
attachment.php

ha ha ha kidhungu shida. Maana yake kwamba ataendelea kumsupport kwenye shida na raha
 
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.

Hahahahaaa, pls inatosha jamani maana kichwa kinaniuma sasa...
Leo sijui uko katika mood gani maana kila bomu unalotoa ni balaaa.
 
Ushahidi kwamba kanunuliwa hiyo Lambo na Zari uko wapi?

Au mkishaona mtu kapiga picha na kitu tayari mnameza hook, line, and sinker?

According to his instagram account, Diamond claimed to receive this from Zari...
 
Mtego mdogo wanacheza na akili za wajinga wajinga,kwanza kapost bila maelezo,ila nimepata habari video inatengenezwa,sasa hivi vidada vinaingia kichwa kichwa,ndo wale wanaopelekwa kwenye magheto ya masela

Yaani ni fedheha mno kwa watu kuwa wajinga kiasi hiki.

Mbaya zaidi ni kwamba hata kujistukia kuwa ni wajinga na wamechemsha hawawezi maana inavyoelekea hawana hata huo uwezo.

Hakuna mtu asiyechemsha. Tofauti iliyopo kweti sie wengine tukichemsha huwa tunajistukia mapema kuwa tumechemsha na tunajitahidi kujirekebisha.

Lakini hawa akina Kuluthumu.....hahahahahaaa tabu tupu.
 
Safi sana Zari, unaonesha jinsi gani unavyotafuta na kutumia pesa zako, umeonesha jinsi gani kuwa wewe sio golikipa wa kusubiri uletewe...
Wengine wanajua kutumia tu na kwenda kuzichezea bila kuwa na uchungu wa kuzitafuta...
 
Hivi, huwezi kuwa unapenda wanamuziki wawili ama watatu tafauti? Yaani kwenye muziki wa bongo unampenda kiba tu kama ndoa vile? Mnajinyimaga uhondo wala hamjastukia tu

Eeish, kwani unadhani nampenda huyo mmoja tu? Ungeniuliza kwanza kabla hujatoa hitimisho.
Nawapenda wengine kama Bell9, Fid Q, Joh Makini, Khadija (wa bongo flavour sio taarab), Jay D n.k
Hiki kinachoendelea huku ni kati ya Kiba vs Diamond. ...na mimi niko upande wa Kiba.
Kwa hayo machache nadhani umenielewa vyema bibie.
 
Halafu utashangaa ukijagunduwa wadada karibu wote hapa celeb ni degree holder ndio ujuwe msiba wa elimu kwa Taifa letu, mtu anashindwa kuresoan vitu vidogo kama hivi, kwahiyo wakipelekwa Namnani hotel msela anasema yake wanavuwa chupi tu na wanaamini.
Ptuuuüuuuuuuuuuuuu.

Mie la saba mpwa...
Halafu kureasoan ndio nin??
 
Mwenye gari huyo hapo
 

Attachments

  • 1434472770601.jpg
    1434472770601.jpg
    70.9 KB · Views: 266
  • 1434472818855.jpg
    1434472818855.jpg
    59.2 KB · Views: 269
  • 1434472853329.jpg
    1434472853329.jpg
    63.7 KB · Views: 244
Back
Top Bottom