Hili jina la Chibu Dangote muache kulitumia ni kuwapaisha wanaija tu, sasa tuko matawi ya juu tunataka sasa wao ndio waanze kujiita Mengi, Manji, Bakhresa and likes.
Maana humu wengine walikuwa wananyonya wakati First lady wa Kenya Mrs Moi analimwaga huno kwenye Inde monie ndani ya uwanja wa Nyayo mpaka alfajili mke wa Rais hajarudishwa ikulu mabodigadi nao wamenogewa na sebene, Moi akatowa amri kwa Kanda Bongoman kuondoka Kenya ndani ya masaa 24.........
Unajuwa alivyotuwa bongo show yake kiingilio kilikuwa shilling ngapi? Ni shilling laki moja za Kitanzania na ticket zilikwisha, imagine kipindi hicho Rais wetu ni Mzee Mwinyi.
Chibu na Dekezo La Naseeb....hilo Dangote umeandika wewe....hahahaaa
I see!!.......
Wenzako washazoea ubungo terminal wanaingia hadi na kunguni na mende.....
So whaaaat......
Relax usipanic, hate the game don't hate the player.
unaweza kuta kuna mtu marinda yameshafumuka yote ukadhani anageuzwa kumbe lah!! anakazi ya ku.nya mafenesi kila asikiapo daimond anasonga mbele badala ya kurudi nyuma unajua huyo mtu ni nani Matola na utaendelea ku.nya mafenisi maisha yako yote.
unaweza kuta kuna mtu marinda yameshafumuka yote ukadhani anageuzwa kumbe lah!! anakazi ya ku.nya mafenesi kila asikiapo daimond anasonga mbele badala ya kurudi nyuma unajua huyo mtu ni nani Matola na utaendelea ku.nya mafenisi maisha yako yote.
hamkuona video msafara wa diamond ulikuwa na gari la polisi moja mbele lingine nyuma
ila hizo zote ni mbinu za promo aonekane expensive.Atleast kuna sura nikiziona humu huwa nadhani kuna vitu vikubwa vya kujadiri kuliko hizi sifa za marehemu.
Tanzania sasa hivi ukitaka escort ya polisi unalipia bila shida sembuse nchi ya kibepari kama Kenya.
Maana humu wengine walikuwa wananyonya wakati First lady wa Kenya Mrs Moi analimwaga huno kwenye Inde monie ndani ya uwanja wa Nyayo mpaka alfajili mke wa Rais hajarudishwa ikulu mabodigadi nao wamenogewa na sebene, Moi akatowa amri kwa Kanda Bongoman kuondoka Kenya ndani ya masaa 24.........
Unajuwa alivyotuwa bongo show yake kiingilio kilikuwa shilling ngapi? Ni shilling laki moja za Kitanzania na ticket zilikwisha, imagine kipindi hicho Rais wetu ni Mzee Mwinyi.
hahahahaaaa thats only you can say, comment yako inaonesha wazi huna jipya, na nimeshakuover dose, unachoweza kufanya ni kunywa maji mengi upate nguvu ya kuamka kesho, wajitia mjuzi wa maneno hapa umefika kugoma mwisho wa reli. na kuna pahala umeingia chaka, nilipapotezea lakini sasa ngoja nipatafute, nikutoe ushamba peupeeee mwana mtoka pabaya wewe, usiyejua baya na zuri.
Stori za kitooto. Ushamba mwingine mzigo.
Stori za kitooto. Ushamba mwingine mzigo.
Hawa mashabiki maandazi wa Diamond wanahitaji maombezi na English course.
Ona hapa Davido anamtakia heri ya kuzaliwa mtu wake na vitimbakwiri vya Tandale wanavyokosa ustaarabu kwenye mambo binafsi ya Davido. Ni aibu natamani kucomment lakini naona aibu maana huwa sicomment chochote Insta.