Diamond apata mapokezi makubwa Mombasa leo

Hili jina la Chibu Dangote muache kulitumia ni kuwapaisha wanaija tu, sasa tuko matawi ya juu tunataka sasa wao ndio waanze kujiita Mengi, Manji, Bakhresa and likes.

Chibu na Dekezo La Naseeb....hilo Dangote umeandika wewe....hahahaaa
 

Hujakosea kabisaaa....kaka angu wa kwanza kazaliwa 88....you can guess my age.....hahahaaaa. ...

Ila hainizuii kumpenda Diamond..... aka Chibuuu......!

Shikamoo....though age is just a word.....
 
unaweza kuta kuna mtu marinda yameshafumuka yote ukadhani anageuzwa kumbe lah!! anakazi ya ku.nya mafenesi kila asikiapo daimond anasonga mbele badala ya kurudi nyuma unajua huyo mtu ni nani Matola na utaendelea ku.nya mafenisi maisha yako yote.

uwiiii uwii.....
 
Last edited by a moderator:
unaweza kuta kuna mtu marinda yameshafumuka yote ukadhani anageuzwa kumbe lah!! anakazi ya ku.nya mafenesi kila asikiapo daimond anasonga mbele badala ya kurudi nyuma unajua huyo mtu ni nani Matola na utaendelea ku.nya mafenisi maisha yako yote.

Hahahaaaa ni hatari yaniii....
 
Last edited by a moderator:
hamkuona video msafara wa diamond ulikuwa na gari la polisi moja mbele lingine nyuma
 
hamkuona video msafara wa diamond ulikuwa na gari la polisi moja mbele lingine nyuma

Atleast kuna sura nikiziona humu huwa nadhani kuna vitu vikubwa vya kujadiri kuliko hizi sifa za marehemu.

Tanzania sasa hivi ukitaka escort ya polisi unalipia bila shida sembuse nchi ya kibepari kama Kenya.
 
Atleast kuna sura nikiziona humu huwa nadhani kuna vitu vikubwa vya kujadiri kuliko hizi sifa za marehemu.

Tanzania sasa hivi ukitaka escort ya polisi unalipia bila shida sembuse nchi ya kibepari kama Kenya.
ila hizo zote ni mbinu za promo aonekane expensive.
Diamond anatumia mbinu yoyote avute attention,scandal za mapenzi na bifu za kijinga,i'm sure hawatafanya collabo tena davido maana kashaonyesha rangi yake,nahisi next kufanya naye collabo atakuwa Ipupa.
 

Stori za kitooto. Ushamba mwingine mzigo.
 

Hahahaaa Pula Weeee. ndo maana nakupenda ndembe ndembe......
Ile mitusi wanayomwaga wao ni kwa sababu wamelelewa vizuri.....Wakiambiwa wanye maboga wanaaumiaaa.....
Hahahaaaa watu wana ashki majinuuni humuuuuu......!

Hata mkinuna bakora zipo palepaleeee.......Chibu juuuu.....!!!!
 

unavyomchamba mwenzio kuwa kaweka wrong comment to wrong post, weweje ulichokipost hapa kinahusiana na mada???? au ndio kujishauwa tu ili na wewe uonekane unajua ku screen shot??? hujielewi hujitambui wajitia kuwakosoa wenzio, usaidiweje labda??? hapa tunaongelea mapokezi ya almas mipasho ya insta umeifikishaje hapa??? inahuuu????

kama kweli unajitambua si ungewapa habari yao hukohuko insta???? matola pita hivi wewe acha kushobokea habari za daimond weweeee zitakutia uchizi bureee wee endelea na mpango wako wa kutengeneza T- shirt ndio uliwezalo, hapa kwa platnumz utasandaaaaaa!!!!
 
Mashabiki wa Diamond na Mashabiki wa Wema akili zao zinafanana sana kwani upeo wao ni mdogo sana leo nitataja aina ya mashabiki wa watu hawa au sifa zao ni kama ifuatavo
1. Ni watu wasio na exposure
2. Ni watu ambao upeo wao kifikra upo chini au kwa lugha nyingine sio watoto wa mjini
3. Wengi wao wamelelewa bila maadili ktk jamii zao na ndio hao hufurahia uvunjaji wa maadili wa Diamond ktk jamii na huchekea na kufurahia upuuzi
4.Mashabiki wa Diamond na Wema wengi wao katika mapato yao binafsi ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…