Mashabiki wa Diamond na Mashabiki wa Wema akili zao zinafanana sana kwani upeo wao ni mdogo sana leo nitataja aina ya mashabiki wa watu hawa au sifa zao ni kama ifuatavo
1. Ni watu wasio na exposure
2. Ni watu ambao upeo wao kifikra upo chini au kwa lugha nyingine sio watoto wa mjini
3. Wengi wao wamelelewa bila maadili ktk jamii zao na ndio hao hufurahia uvunjaji wa maadili wa Diamond ktk jamii na huchekea na kufurahia upuuzi
4.Mashabiki wa Diamond na Wema wengi wao katika mapato yao binafsi ni shida.
Aisee umemaliza yote!Sijui ulikua wapi siku zote!
Mashabiki wa Diamond na Mashabiki wa Wema akili zao zinafanana sana kwani upeo wao ni mdogo sana leo nitataja aina ya mashabiki wa watu hawa au sifa zao ni kama ifuatavo
1. Ni watu wasio na exposure
2. Ni watu ambao upeo wao kifikra upo chini au kwa lugha nyingine sio watoto wa mjini
3. Wengi wao wamelelewa bila maadili ktk jamii zao na ndio hao hufurahia uvunjaji wa maadili wa Diamond ktk jamii na huchekea na kufurahia upuuzi
4.Mashabiki wa Diamond na Wema wengi wao katika mapato yao binafsi ni shida.
Msanii Punda hafai kushabikiwa katika maisha haya ya kitanzania, Diamond hajui na Hana kipaji simpendi na sitomshabikia hadi nakufa
Hapo sasa ndo unapokosea...kwa..mfani mtu hayupo kwenye hizo team wema na diamond lakini yeye anamkubali diamond kwa namna moja au nyingine kazaliwa dsm kasoma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu dsm, katembelea mikoa mingi kuanzia dar mpaka kigoma...nje ya Tanzania mpaka buckingham palace katia timu, kazi amebahatisha kupata lakini Diamond anampenda? kwa vigezo vyako ulivyovianisha unaona vinafit? au umegeneralize tu?
Chokoraa kama wewe hata usipomshabikia humpunguzii chochote
Watoto yatima tunawasaidia kila siku hivo sijaona cha kukutetemesha hapo
Mkuu umenifanya nipigwe kofi na wifi yako kitandani kwa kucheka maana nimecheka hadi kikojoleo kimechomoka
watu kama wewe hua siwajibu na unavoandika unaonekana unamaisha magum sana na stress karibu zikuue
Nilikuwa nipo ktk mihangaiko ya kukutafuta, kumbe upo huku karibu saana jukwaa la jf chit chat
Hawa mashabiki maandazi wa Diamond wanahitaji maombezi na English course.
Ona hapa Davido anamtakia heri ya kuzaliwa mtu wake na vitimbakwiri vya Tandale wanavyokosa ustaarabu kwenye mambo binafsi ya Davido. Ni aibu natamani kucomment lakini naona aibu maana huwa sicomment chochote Insta.
Hawa mashabiki maandazi wa Diamond wanahitaji maombezi na English course.
Ona hapa Davido anamtakia heri ya kuzaliwa mtu wake na vitimbakwiri vya Tandale wanavyokosa ustaarabu kwenye mambo binafsi ya Davido. Ni aibu natamani kucomment lakini naona aibu maana huwa sicomment chochote Insta.
Swala sio kutaja kwamba wapi ni mjini Dar ni kama mfano maana ndo Tanzania yenyewe,ili uwe mtoto wa mjini si inabidi ue unatoka mjini? sasa kama hujatembea umekaa tu sehemu moja utaweza kua exposed kivipi maana inabidi uone tofauti kati ya sehemu A na B napia kuweza kutoboa katika sehemu zote hizo? au unataka useme unakua exposed kwa kusikia vitu toka kwa watu bila wewe mwenyewe kua exposed? au kufika sehemu? au ulikua unamaanisha nini sasa?jiulize wapi nimesema kuzaliwa Dar ndo kuitwa mtoto wa mjini au kutembea tu inatosha kua na exposure, mbona hata mjini mafala wapo tu wengi na hawana mbele wala nyuma
Du umenichekesha sana na ndie mtanzania wa kwanza kudate mwanamke tajiri E.Amwenye k ya UN