Diamond apewa zawadi na FIFA

Diamond apewa zawadi na FIFA

Na hapa mmeona?tuzo za kupewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1379820


Pheeewiiiiii
Kumchukia diamond nikujikondesha moyo na kujitafutia stress cos kila mwaka lazima achieve vitu vingi ni Bora uwe ni hater Kama wakina Alikiba, Tid,chid benz,Aslay hawa hawawezi kukupa tabu na hata kasi yao ya mziki ni ndogo.
 
Gazeti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

#pooovuuu
#mmeniitawenyewecheeeiii
Kumchukia diamond nikujikondesha moyo na kujitafutia stress cos kila mwaka lazima achieve vitu vingi ni Bora uwe ni hater Kama wakina Alikiba, Tid,chid benz,Aslay hawa hawawezi kukupa tabu na hata kasi yao ya mziki ni ndogo.
 
Ofkozi na wote wanavuta oksijeni moja,futi za kwenda chini moja
Oksijeni ana vuta kila mtu hapa tunazungumzia ACHIEVEMENT bibie , Messi ameachive bilionea na shabalala ameachieve shilingionea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zote hela
Oksijeni ana vuta kila mtu hapa tunazungumzia ACHIEVEMENT bibie , Messi ameachive bilionea na shabalala ameachieve shilingionea
 
Back
Top Bottom