super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 533
Mnalipwa na huu ushabiki wenu wa kina kiba na MONDI au Ndio kupiga kelele huku unakufa masikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzinga wa Konyagi ?[emoji12]Heshima zote!!! Na mizinga wamepiga ?
Umeambiwa leta kapicha au kavideo.Wewe ni maskini wa mali na akili hauna lolote kaa kimya ulale upate japo muda wa kuwaza shida zako.
Nimeona akina mama nahisi ndo guards za gwaride hahhahahahah....af nimesikia filimbi nahisi ndo mizinga hiyo.amekagua na gwaride?
Nimeona akina mama nahisi ndo guards za gwaride hahhahahahah....af nimesikia filimbi nahisi ndo mizinga hiyo.amekagua na gwaride?
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Pemba kama chake chake mkuu?
Kwa jinsi mnavyosema basi huyo jamaa angekuwa ameshafilisika kwa kuhonga mashabiki.Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Wewe team kiba tushakujua ..Sisapoti timu yoyote mimi ni neutral...Sifungamani na upande wowote
Hakika mkuu tena kuna moja alisema wazi kabisaWewe team kiba tushakujua ..
Ujue haya mambo huwezi kuficha Mkuu.
Reply zako tuu hata mada za nyuma kuhusu Mond na kiba zinaonesha uko wapi
Hahaha Mkuu kumbe na ww ushamsoma hapaHakika mkuu tena kuna moja alisema wazi kabisa
amepigiwa mizinga mingapi au kaishia kupigwa vizinga!? amekagua gwaride la heshima kutoka kwa vikosi vyq ulinzi au wale ma bodybulder?Wanabodi.
Hayo mapokezi ya Diamond ni makubwa sana amepewa heshima kubwa mno hakuna msanii tanzania aliewahi kupokelewa vile ngoja tusubiri na rekodi atayovunja ya kufanya show indigo london ambapo hakuna msanii wa bongo aliewahi kufanya show ya peke yake indigo.
Hapo umeingiza bei gan? Nenda kibaruan wanao watafukuzwa adaKwa taarifa yenu
DIAMOND NDIO MSANII WA KWANZA AFRICA KUFANYA SHOW KUBWA OFFICIAL PALE LAS VEGAS NCHINI MAREKANI KATIKA UKUMBI WA MGM ILIYOHUDHURIWA NA MASHABIKI WENGI ZAIDI.KWA TAARIFA ZAIDI NENDENI MILLARD AYO KISHA SEARCH SHOW YA DIAMOND MAREKANI.
DIAMOND SIO MARA YA KWANZA KUPATA MAPOKEZI KAMA HAYO.ULIZENI WAKENYA,WAMALAWI,WASAUZI,WAZIMBABWE NA SASA MSUMBIJI.KOTE AMEPOKELEWA KAMA MTU MWENYE KITU FULANI CHA ZIADA.
DIAMOND NI MSANII PEKEE EAST AFRICA MWENYE VIEWERS ZAIDI YA 100M+ KATIKA KAZI ZAKE ZA MUZIKI.
DIAMOND NI MSANII PEKEE EAST AFRIKA AMBAYE AKIFIKA SAUZI NA NIGERIA NCHI HIZO ZINATAMBUA KUNA MSANII TOKA EA KAINGIA NCHINI KWAO.WENGINE POROJO KIBAO.
DIAMOND NI MSANII PEKEE ANAEPIGA SHOW ULAYA NA MAREKANI KATIKA KUMBI ZINAZOELEWEKA NA KWA MKATABA MAALUMU.WENGINE WENGINE HAO UKISIKIA KAENDA ULAYA JUA WANAKWENDA KUPIGA SHOW KWENYE KITCHEN PARTY,HAPPY B/DAY ZA WABONGO NA KWENYE VISHEREHE NA VIBAA VYA WABONGO...
Nakaribisha mapovu maana ukweli UNACHOOOOMA KAMA PASI
So whatDiamond ni wa kimataifa jamaa anakubalika sana inje ya Tanzania