Diamond apokelewa kama Rais Msumbiji, apewa heshima zote za kirais

Diamond apokelewa kama Rais Msumbiji, apewa heshima zote za kirais

20170916_092000.jpeg
 
Mtoa Mada Umekurupuka.........! Kapicha??????
 
Wewe team kiba tushakujua ..
Ujue haya mambo huwezi kuficha Mkuu.
Reply zako tuu hata mada za nyuma kuhusu Mond na kiba zinaonesha uko wapi
Hakuna team kiba kuna team mchukia mondi..SiSiku mondi akitangulia mbele za haki kiba atabaki kama ray wa bongo move.
 
Nimeangalia insta yake kwakweli katisha, yaani hadi makamanda wamesahau majukumu yao wanajichukua selfie
 
Nimeangalia insta yake kwakweli katisha, yaani hadi makamanda wamesahau majukumu yao wanajichukua selfie


Kwa mujibu wa wadau wa humu, wale makamanda walilipwa na Babu Tale wakagombee selfie
 
Diamond ni wa kimataifa jamaa anakubalika sana inje ya Tanzania

Kama ni 'inje' ya nchi, hata Mr Nice alikuwa anakubalika kwa nyimbo zile zile za kuku kapanda baskeli bata kavaa laizoni
 
Wabongo huwa tunashinda Ku appreciate vya kwetu, Asante Mond umetuwakirisha vizuri na wala hujawai kutuangusha watanzania.
 
Mitanzania mijinga sana yaani Rais ni kitu cha maana sana
 
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Tunakuombea uzidishiwe roho mbaya , amen.
 
Awa wasanii wasijisahau ata Mr nice. Alikua vivi hivi,.. Kambulia gonjwa kuu
 
Freemason huyo[emoji23][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16]
 
Ahahhaaaa,SIMBA BIN LADEN ANA NYOTA ISIYOCHUJA KABISAAAA,WATU WAKIAMUA KUMSHUSHA WASISAHAU NA KUJA KUNG'OA MEMORY ZILIZO NSTALL MOND VICHWANI,MAAANA KUMSHUSHA iSHASINDIKANA


NA DADA YETU MANGE KAONA AENDELEE TU NA SIASA ZAKE MAANA KIBAKULI ANA DHARAU HUYU MTU DAAAHHHHH,HATA KUHOJIWA TU ANARINGA






GO GO GO SIMBAAAAAAAA
Hahahah
Nimeshindwa kuvumilia Kutoa meno kwakweli.
 
Back
Top Bottom