Diamond asema "Nipo tayari kumsaidia collabo Ali Kiba"


Unajua kuna neno likitumiwa kwenye muktadha Fulani linaonekana si zuri! Hili neno kama kweli kalitumia halikupaswa kulitumia ukizingatia uhusiano alio nao kwa sasa na Alikiba!

Hili neno linamaanisha Alikiba hajiwezi kabisa pengine si kimziki tuu bali hata kifedha!

Pengine hakujua kama hili neno linaweza kuwa baya lakini si la kutafuta suluhu kabisa au Amani!
 
Hamumjui diamond jamani???anakaribia kutoa single mpya hapo anatafuta kick...
 

Noted. Elimu yake ndogo.
 
Hivi Diamond ndio nani ? Au yule kijana alikua anaomba kufanya matamasha shule za sekondari Dar mi namjua Ali Kiba ndio ana tenzi za maana thats why i wonder kama Diamond amsaidie Ally tena kuna wasanii na ma mc.
 
Hahahaaaaa,alafu aliimba vibaya sijapata ona hasa pale mwishoni sauti iligoma kabisaaa
Prof.J angemtumia Q Chillah ule wimbo ungekua hatari sana

pepo la chuki litakutafuna mwana kondoo
 
Wema alipomfunza tu kizungu, anafikiri yupo juu ya wa TZ wote.
Shame.

Huyu mtoto bado hajajua maisha......ipo siku atajua kuishi na watu.Kuna kauli ni tata sana kutoa mbele ya watu kwa maana wapo mashabiki wapo pande zote sasa unapotoa kaul ya kebehi na dharau basi ujue mwisho wake umekaribia
 

Ni kama hii kauli ya Kiba alipoulizwa na Spora kuhusu yeye kurudi wakati Diamond yupo juu


“Kuna watu wanasema kachukua kiti changu? Labda kama ni kiti ambacho nilikuwa nimekaa kina vumbi na ninachotakiwa ni kukipangusa
tu na kukaa tena , labda yeye yuko siti nyingine ila ya nyuma ."
 
domo ni domo na atabaki kuwa domo sikujua kama ana busara nukta.... nlikua napenda interview zake ila kwa maneno hayo... si bure ukubwa wa mdomo umezidi akili hafikirii anaropoka tu mfeeeewwwwww siku akiporomoka sijui ataficha wapi sura yake limbukeni tu.
" be good to people on your way up, u may need them on your way down"
 

kumashabikia kiba ni headache..hata video ya mwana inaingia mwezi wa 4 huu kashindwa kutoa...nigga yuko slow kama konokono..watu watamchoka soon
 
Huyu mtoto bado hajajua maisha......ipo siku atajua kuishi na watu.Kuna kauli ni tata sana kutoa mbele ya watu kwa maana wapo mashabiki wapo pande zote sasa unapotoa kaul ya kebehi na dharau basi ujue mwisho wake umekaribia

., huyu dogo atapotea kama upepo.

Hakuna mtu duniani anaweza pingana na kuishinda 'DISCIPLINE'. Structured and formal knowlege.

Sidhani,, hata WEMA hana uwezo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…