Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kupanda mlima Kilimanjaro kunataka maandalizi.
Hizi si habari za kutaka kupanda kwa kuigaiga tu bila maandalizi. Huko juu kuna thin air, lack of oxygen na altitude sickness.
Nakumbuka miaka ya nyuma sana kuna kaka zetu walikuwa wanasoma Arusha School walienda kupanda mlima Kilimanjaro kama kundi la shule, mmoja wao alifariki.
Hizi si habari za kutaka kupanda kwa kuigaiga tu bila maandalizi. Huko juu kuna thin air, lack of oxygen na altitude sickness.
Nakumbuka miaka ya nyuma sana kuna kaka zetu walikuwa wanasoma Arusha School walienda kupanda mlima Kilimanjaro kama kundi la shule, mmoja wao alifariki.