Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

mi nampongeza kwa kujaribu maana mi mwenyewe ni mzaliwa hapo chin ya mlima na cjawah kuupanda. kingine cjaona haja ya kumkejeli mtu aliyejaribu kutimiza ndoto zake akafeli.
 
Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...

Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.

Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.

Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.

Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.

Na wote tutatoboa...

Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Hebu panga siku tukapande mkuu. Nistue siku zikikaribia nijipange
 
Nitakuja Kupanda Mlima Kilimanjaro

Nitarudi Kuleta Mrejesho
 
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.

Na wote tutatoboa...

Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
[/QUOTE]
ha..ha..ha...pamoja na kuzliwa kilimanjaro lakini na tumbo hili kwakweli sithubutu! mara ya mwisho nilienda kumzika bibi kwenda kusalimia kijiji jirani tu ilikuwa aibu ulimi nje vile vilima vya Rombo sasa itakuwa mlima?
 
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.

Na wote tutatoboa...

Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
ha..ha..ha...pamoja na kuzliwa kilimanjaro lakini na tumbo hili kwakweli sithubutu! mara ya mwisho nilienda kumzika bibi kwenda kusalimia kijiji jirani tu ilikuwa aibu ulimi nje vile vilima vya Rombo sasa itakuwa mlima?

Hahaha.
 
Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...

Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.

Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.

Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.

Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.

Na wote tutatoboa...

Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Count me in...
 
Na mie niliwahi kuishia njiani! Ile kitu inatakiwa ujiandae vzr!

Next time gonna touch Uhuru peak, the roof of Africa!
 
Jb naskia ndio anaongoza kundi
Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...

Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.

Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.

Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.

Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.

Na wote tutatoboa...

Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
 
Mondi mbishi sana atarudi tena kuupanda
 
Back
Top Bottom