Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Halafu hako kajamaa kama uliangalia interview yake kanasema kanafanya showz 3hrs non stop so katapanda mlima kwa siku moja eti kupanda mlima kitu gani bana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190929-WA0019.jpeg
IMG-20190929-WA0020.jpeg
 
There's always second chance and people learn from their mistakes...

Only if one intend to complete the mission.
Upo sahihi wanaorudi bila kufika kileleni ni wengi ila hawa wametia aibu kurudia kituo cha kwanza, bora hata wangesogeasogea hadi horombo camp...
 
Back
Top Bottom