Hebu panga siku tukapande mkuu. Nistue siku zikikaribia nijipangeWakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Kwa uzoefu wangu sikubali ila will power inatawala.Physical inahitajika pia.
Mazoezi ni muhimu sana...
Tuanze kujiorodhesha tunaotaka kupanda. Tuanze mipangoNatamani sana kupanda kamanda, one day tutatimiza tu ndoto yetu
Huyu njemba haumwi kweli huyu?[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1219211View attachment 1219212
Hapo alipo anatumia ARV,akapande tena mlima? Mwili umeshindwa kusustain.[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1219211View attachment 1219212
Wanawake!!Hapo alipo anatumia ARV,akapande tena mlima? Mwili umeshindwa kusustain.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
ha..ha..ha...pamoja na kuzliwa kilimanjaro lakini na tumbo hili kwakweli sithubutu! mara ya mwisho nilienda kumzika bibi kwenda kusalimia kijiji jirani tu ilikuwa aibu ulimi nje vile vilima vya Rombo sasa itakuwa mlima?
wanume wa wapi vileeeeeeeeeeeeee?[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1219211View attachment 1219212
Count me in...Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Mkuu mie nilishaenda kule tena kwa njia ngumu ya machame, lakini sikujikana, ila niwe mkweli tu kuna siku nililia, nikajuta na kujiuliza nini kimenipeleka kuleKule kunahitaji watu waliojikana
Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.