nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Kuna jumla ya vituo vingapi hadi kufika kilele cha mlima, na je ni siku ngapi zinatumika katika kupanda, halafu kuna tofauti gani kati ya Mawenzi na Kibo.
Mi napanda kila mara na nafika kileleni [emoji23][emoji23]