Diamond atakiwa kuchagua dini kati ya Uislam au Ukristo

Diamond atakiwa kuchagua dini kati ya Uislam au Ukristo

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
 
Huyo sheikh atakuwa anasumbuliwa na majini kama jina lake lilivyo.
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
 
Hii shehe mburura kweli...mbona kwenye mihadhara mashehe like Shehe Mazige na Dr Sheik Sule wanatumia Biblia Tu?

Anashindwa kupambana na mapunga yaliyojaa kwake anakomaa na watu wazima???

Majini yakizidi kichwani unakua na akili oil...

Diamond ni mfanyabiashara, anakula pote pote...Majini mwnyw anatumia dini kuwapiga wajinga, so wote ni wale wale tu!

I think hizi imani za dini zina kauendawazimu...
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Asipangie watu maisha
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Kwanini yeye shekhe wa majini hajachagua majini au mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom