Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hana ngebe hizoMsiseme vibaya mnajua shehe ni wa dini ya mnyaazi hakawii kusoma kiarabu mkajikuta mmegeuka paka hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana ngebe hizoMsiseme vibaya mnajua shehe ni wa dini ya mnyaazi hakawii kusoma kiarabu mkajikuta mmegeuka paka hapa
Yes nimesema Gwajima sio wakristo , maana mwenye shida ni Gwajima, siwezi kuwapa wakristo lawama kwa shida ya GwajimaMbona na ww unasema gwajima ana matatizo
Ndio sasa toka lini jini akajiumba mwenyewe? hao ni viumbe kama kuku au binadamuWanakwambia majini ni viumbe wa mnyaazi mungu. Kuna majini wazuri na wabaya
Majini yana fugwa kumbe?Majini anafuga wapi huyo sheikh?
Sheikh sharifu majini ameshakataa ile post sio yakeHatapesa za show zake ni kufuru mana nizawakristu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msiseme vibaya mnajua shehe ni wa dini ya mnyaazi hakawii kusoma kiarabu mkajikuta mmegeuka paka hapa
Sheikh "MAJINI" !!!Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
🤣🤣🤣🤣
Sadala ndio nani?Nawewe ulivyompuuz umechukua habari ya uzushi iliochapishwa na MwanaHabari kule twita unaileta hapa Shekh Sharif mwenyewe kasema ni Uongo hajasema chochote na Kampongeza Sadala kwa kuleta amani ya dini na Kutokomeza Wafia dini kama Mtoa mada
Nawasilisha
Ilitokea pale shoka lilipoungua mpini ukabakiHii iliwahi kutokea wapi?
Swala la imani nalo la kumpangia mtu?Empty set..Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.
Chanzo: mwanahabari news
Njaa ya shehe imekosa subra![emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.
Chanzo: mwanahabari news
Hawa jamaa wamefunga lakini suala la kusamehe hawana full chukiNjaa ya shehe imekosa subra![emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]