Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Hawa mabwana watakuambia majini sii mashetani ,ni viumbe kama sisi😄😄😄😄
Nyimbo gani sio za dunia? Qswida inaimbwa mbinguni? Adhana inaimbwa mbinguni? (utaniambia hizo haziimbwagi😄😄😄)majini hayapendi kabisa Biblia...
huyo Diamond kwanza na huo Uislam wapi na wapi, ni elimu gani ya Uislam inayoruhusu mtu kuimba nyimbo duniya?
Huyu Sheikh wa wapi?Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Acha kuwapa lawama waislamu kwasababu ya mtazamo wa mtu mmoja, ulipaswa kusema Sharifu majina hana matatizo, japo hata hata Gwajima ana matatizoWaislamu wana matatizo ya akili, mbona hajawahi kumwambia hvy Samia akitoa neno kutoka kwenye biblia.!
Huyu mtoa mada afungiwe aiseee, kwanini anatupotosha aisee, kumbe sio Sharifu MajiniTupunguze Chuki za dini wakuu..Kwasasa kila mtu anajikuta mwandishi wa Habari kwahiyo ukikutana na habari mtandaoni jaribu kujiuliza mara 10 kumiView attachment 2583733
Mzee kumbe sio Sharifu majini ni wahuni tu, tuwe tunafatilia account za. ukweli , vingenevyo tutakula sana matango poriKama kiongozi anasema hivi, sishangai upumbavu huu ukawa maradufu wa waislamu wengine..
Sheikh amejibu kuwa ile account sio yake ni wahuni tu , kwahiyo huu mjadala umekufaHii inaitwa ntoke vip.
Kwani yeye sheikh aitambui biblia kama kitabu kitakatifu?
Hizo labda zitakuwa Za wale waendesha mihadhara kwa ajili ya kufanyia mihadhara.Nimeona mara kibao msikitini kukiwa na Bible huwa wanazitumia kufanya nini?
Mbona na ww unasema gwajima ana matatizoAcha kuwapa lawama waislamu kwasababu ya mtazamo wa mtu mmoja, ulipaswa kusema Sharifu majina hana matatizo, japo hata hata Gwajima ana matatizo
Huyo sharrif majini ndo nani??
Majini anafuga wapi huyo sheikh?Tupunguze Chuki za dini wakuu..Kwasasa kila mtu anajikuta mwandishi wa Habari kwahiyo ukikutana na habari mtandaoni jaribu kujiuliza mara 10 kumiView attachment 2583733