3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Kwanini ajiite sharifu majiniMajini yana fugwa kumbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ajiite sharifu majiniMajini yana fugwa kumbe?
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Illusion.Msiseme vibaya mnajua shehe ni wa dini ya mnyaazi hakawii kusoma kiarabu mkajikuta mmegeuka paka hapa
Huyo jamaa kwa kujiita Sharifu majini ni muongo na tapeli anaitwa Msolopa alikuwa na kiringe cha uganga pale Mabibo Dar ila sijui kwa sasa pia zamani hizo alikuwa akiwatumia watoto wanaojua kuisoma Quran kwenye mihadhara ya akina Mazinge ,Sule, Kalala wapi, kujipatia fedha.Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Ni Sheikh.Huyo sharrif majini ndo nani??