Diamond atakiwa kuchagua dini kati ya Uislam au Ukristo

Diamond atakiwa kuchagua dini kati ya Uislam au Ukristo

Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.

Chanzo: mwanahabari news
Anapakatwa huyo kima mtu anaona sifa anajiita shehe sharif majini. Hawezi kuwa na akili timamu
 
Wafia dini bwana shehe mwenyewe yupo Kenya na majini yake ila kazushiwa na baadhi ya wapuuzi tu wafia dini dini zenyewe izi zimeletwa na Meli[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Screenshot_20230410-215824_1.jpg
 
Huyo Muhuni mvuta mabange, Mbakaji na tapeli watu, anajiita sheikh mshirikina mkubwa huyu
Kaanza utapeli mabibo na sisi ndio alikuwa anatutuma huyu fala.
Leo amepata wapi ujasili wa kumsema Mond!!??
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Vipi kuhusu Mzee Makamba?
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Yaani hadi imani ya mtu tunataka asikilize mitandao! Tuache watu na Imani zao. Kila binadamu kazaliwa mwenyewe na ni nafsi binafsi tusipende kujilinganisha na watu
 
Haleluya Kama Ile singo yake, misalaba shingoni, huyu anapenda ukristu Ila Basi tu.
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.

Chanzo: mwanahabari news
Sheikh Sharifu ni nani katika uislamu ? kwanza huyo Diamond harakati zake nyingi za maasi na kinyume na uislamu.
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
 
Hawa ndugu huwa wanahangaika na vitu vidogo visivyo na tija. Dini hazina hati miliki eti ukiwa dini fulani huwezi kubadili. Kwa kweli hawa ndugu wana ina imani ya ajabu sana na ndio maana si rahisi mtu asiye muumini wa dini hiyo kuingia kwenye majumba yao ya kuabudia, tofauti na upande ule utaingia na kukaribishwa kwa heshima na furaha, ukitaka kuhamia sawa, kama unapita tu nako sawa utakaribishwa tena. Hakuna utisho watu wana nyuso za furaha na angavu. Bibla haina utisho kiasi cha kuogopwa kama kila kitabu kingine wanakijua wachache. Kila mtu anapaswa kusoma biblia na kuijua kweli
 
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.

Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.

Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Ila jamani Mungu si mmoja..... Hili nalo mkalitazame
 
Hii shehe mburura kweli...mbona kwenye mihadhara mashehe like Shehe Mazige na Dr Sheik Sule wanatumia Biblia Tu?

Anashindwa kupambana na mapunga yaliyojaa kwake anakomaa na watu wazima???

Majini yakizidi kichwani unakua na akili oil...

Diamond ni mfanyabiashara, anakula pote pote...Majini mwnyw anatumia dini kuwapiga wajinga, so wote ni wale wale tu!

I think hizi imani za dini zina kauendawazimu...
Bakhresa ni mfanyabiashara pia lakini ni muumini wa dini mzuri sanaa... Vijana acheni kujisahau na maisha ya dunia, kuna kesho akhera hukoo...
 
Back
Top Bottom