Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Anapakatwa huyo kima mtu anaona sifa anajiita shehe sharif majini. Hawezi kuwa na akili timamuKufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.
Chanzo: mwanahabari news
Duuh ya kweli hayo ? [emoji848]Ila Diamond anatamani sana kuolewa na mkristo kama mwenzake ommy
Duuh hii kali [emoji23]Tokea nimuuzie kitimoto ustadhi aliyewachapa wanae kisa hawajavaa hijabu.
Siingilii kabisa mikwaruzano ya kidini or kumjudge anyone
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa na pesa hata panya watajifanya kukujua kutwa kucha kujazana nyumbani kwako wale vizuri vilivyomo. [emoji23]
Vipi kuhusu Mzee Makamba?Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Yaani hadi imani ya mtu tunataka asikilize mitandao! Tuache watu na Imani zao. Kila binadamu kazaliwa mwenyewe na ni nafsi binafsi tusipende kujilinganisha na watuKufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Hata mimi natafuta Bible moja niwe nasoma tu nikiwa na muda wa free.Nimeona mara kibao msikitini kukiwa na Bible huwa wanazitumia kufanya nini?
Sheikh Sharifu ni nani katika uislamu ? kwanza huyo Diamond harakati zake nyingi za maasi na kinyume na uislamu.Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
NB kwanini waislam mnahangaika na vitu vidogovidogo hivi.
Chanzo: mwanahabari news
Kudadadeki JF hii kiboko sana daaah [emoji119][emoji847]Tokea nimuuzie kitimoto ustadhi aliyewachapa wanae kisa hawajavaa hijabu.
Siingilii kabisa mikwaruzano ya kidini or kumjudge anyone
Ni mwislam kama weweSheikh Sharifu ni nani katika uislamu ? kwanza huyo Diamond harakati zake nyingi za maasi na kinyume na uislamu.
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Ila jamani Mungu si mmoja..... Hili nalo mkalitazameKufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka.
Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye Uislamu aachane na kufuru ya kujichanganya na Wakristo au aende kwenye Ukristo.
Ambapo sheikh amesema kama uislamu umemshinda aondokee.
Bakhresa ni mfanyabiashara pia lakini ni muumini wa dini mzuri sanaa... Vijana acheni kujisahau na maisha ya dunia, kuna kesho akhera hukoo...Hii shehe mburura kweli...mbona kwenye mihadhara mashehe like Shehe Mazige na Dr Sheik Sule wanatumia Biblia Tu?
Anashindwa kupambana na mapunga yaliyojaa kwake anakomaa na watu wazima???
Majini yakizidi kichwani unakua na akili oil...
Diamond ni mfanyabiashara, anakula pote pote...Majini mwnyw anatumia dini kuwapiga wajinga, so wote ni wale wale tu!
I think hizi imani za dini zina kauendawazimu...