Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Aiseeee........kweli hata uwe na pesa kiasi gani........bila ninilino........hujakamilika.........
Ninavyomuonaga Zari........mmmmmh.....

Hahahaaa.. Thats how things are.. Mbona madame Matalenti naye alikua anatoka na Mwana daresalama??
 

heee mods waliliona kkkaah
yaonekana wanakufatilia sana binamu maana kidogo wamkubanika
 
Last edited by a moderator:
leo kuna ugawaj wa tuzo ambazo diamond pia anagombea.wataalam wa mambo embu fatlieni ili tujue kama yaliyomo yamo ama nn
 
Sikujuaa binam wala sikuangaliaaa kama una ban poyeeeeeeeeeeeeeee,,mi nilijua umepumzika tu au umeibiwa simuuu

Ahahahahah eti nimeibiwa simu, wewe ni chiz unajua, hamna bhana ni Ban tu binamu, yan we acha
 
Pole,nilidhani unashughulikia talaka, karibu tena.

AHahaha, wewe zavi ni kiboko, niko busy na talaka bhana, mpaka kieleweke, gadner alikuwa anatubania sana, sasa ivi tutapumua
 
Last edited by a moderator:
Watu wamejaa upepo balaa...Jamaa anajua kucheza na akili zetu aisee
 

kumbe ulipewa bani? poule. kuna kuvalisha kibibi nepi wahi umsaidie domokaya
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…