Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,803
- 1,601
Aiseeee........kweli hata uwe na pesa kiasi gani........bila ninilino........hujakamilika.........
Ninavyomuonaga Zari........mmmmmh.....
Aiii wewe nimekumisooooo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee........kweli hata uwe na pesa kiasi gani........bila ninilino........hujakamilika.........
Ninavyomuonaga Zari........mmmmmh.....
Aiii wewe nimekumisooooo...
Kweli wamependeza! vipi safari ya kwenda miss world mwakani umeshaanza maandalizi? nafanya mpango Dai na Zari wakusindikize.
Hana hela huyo,anategemea za mme wake atoe child support na yeye ndo anapatia mo.lakini jamani mbebs mkaree balaa.juu ya kuzaa watoto wake 3, analipa ile mbaya.sura mashallah,na figure anayo.hela anazo,hategemei kuhongwa
Hataree hatare in Wema in Wemas voice
Msisahau ata mapenzi ni project pia so ajazungumza project gani?
Dangoteeeee anaumiza vidume si wanawakeee haki ya mamaaaa
Msisahau ata mapenzi ni project pia so ajazungumza project gani?
hahahahaha dina bana.hivi hilo neno dangote lina maana gani ?maana kila siku nalisikia sijui maana yake
Nimekuudhi nn tena binamu??
Huonagi notification mi nilidhan umepatwa majanga
Mwanaizaya anafaidi huyu...,
kashaliwa huyo.
Ebu usinichekeshe mie, ina maana wewe na Mrembo by Nature hamkujua kama nilipewa BAN? Siku ya nne leo binamu, yan mdomo huu, niliandika tusi kwenye ule uzi wa sheta nashangaa nikalimwa ban, yan sina hamu, nishazoea kule kwa sintah natukana mpaka basi, ndo ivyo binamu, nilikiwa kifungon, mie warumi nilivyikuwa mbea nikae siku zote kimya si nitaumwa presha??
Ebu usinichekeshe mie, ina maana wewe na Mrembo by Nature hamkujua kama nilipewa BAN? Siku ya nne leo binamu, yan mdomo huu, niliandika tusi kwenye ule uzi wa sheta nashangaa nikalimwa ban, yan sina hamu, nishazoea kule kwa sintah natukana mpaka basi, ndo ivyo binamu, nilikiwa kifungon, mie warumi nilivyikuwa mbea nikae siku zote kimya si nitaumwa presha??
Huonagi notification mi nilidhan umepatwa majanga
Ebu usinichekeshe mie, ina maana wewe na Mrembo by Nature hamkujua kama nilipewa BAN? Siku ya nne leo binamu, yan mdomo huu, niliandika tusi kwenye ule uzi wa sheta nashangaa nikalimwa ban, yan sina hamu, nishazoea kule kwa sintah natukana mpaka basi, ndo ivyo binamu, nilikiwa kifungon, mie warumi nilivyikuwa mbea nikae siku zote kimya si nitaumwa presha??