Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Eeh sintah na zari wapi na wapi au ndo mbeba mapochi wake, maana hawaendan hat kidog, sintah mswaz sana

Kweli sintah ndiye aliyekua anawapiga picha jana...sasa hivi ameshaweka picha zake na Zari jana....ila za diamond hajaweka naona anaogopa michambo....
 
Sipati picha muke ya muzungu alivyovimba kwa wivu anatamani zari angekua shoga yakee heheeher
Sinta mwaego umependezaaa na boss lady

Nakuambia na anavyomponda...Mange ana wivu jamani....
 
Nakuambia na anavyomponda...Mange ana wivu jamani....

Ana wivu mnoooo hapo roho inamtoka kwan zari hafanyi biashara za umachingaa anataman angekua rafiki akeee?
 
Ngoja aende akalee watoto wanne...., manake watoto washaanza kufananishwa na baba wa kufikia

diamond..., hiyo numer hauna na mie nifanye project. BYE

Hivii heaven una picha za hao watoto wa Zari !!

Wawafananishe tuu hhhhhhaaaa unataka ufanye project kama ya zari au nyingineee tu warumi kafika tayaree
 
Kweli sintah ndiye aliyekua anawapiga picha jana...sasa hivi ameshaweka picha zake na Zari jana....ila za diamond hajaweka naona anaogopa michambo....

Kwan kuna ubaya lakini ye kuwapiga pichaa, sipati picha wema sijui na wao alikujaga prezoo wakapiga picha hamna mbayaaa
 
Wote wazur ila sintah mswaz n mbea sana atakuwa anamuaribia mwenzie

Ndio shoga ake hutaki lamba ndimuuuuuu heheiyaaaaaaaaaaaaaaa
Tupe namba ya paul au peter heaven anataka afanye project kama ya zariii
 
Hahahahahaaaaaah...
Lol

Hivi huyu Billionare hawezi kutoa nyimbo mpaka kuwe na mwanamke wa kumpa kick kutafuta attension za watu?

Haya ngoja tumsubili Billionare Le Mutuz leo saa 8 mchana anaitisha press conference kuzungumzia urafiki wa watu.

Made in Tanzania and only in Tanzania.
 
Hivi huyu Billionare hawezi kutoa nyimbo mpaka kuwe na mwanamke wa kumpa kick kutafuta attension za watu?

Haya ngoja tumsubili Billionare Le Mutuz leo saa 8 mchana anaitisha press conference kuzungumzia urafiki wa watu.

Made in Tanzania and only in Tanzania.
ahahhahaha
Le mutuz mutu mukubwa u know
lazma alípressishe hili ,
chezea turubai,ndrukii nene akija mi simo kaka!
 
Hivi huyu Billionare hawezi kutoa nyimbo mpaka kuwe na mwanamke wa kumpa kick kutafuta attension za watu?

Haya ngoja tumsubili Billionare Le Mutuz leo saa 8 mchana anaitisha press conference kuzungumzia urafiki wa watu.

Made in Tanzania and only in Tanzania.

Hahahaaaa umenichekesha hatariiii...Mimi nasikia hii habari siielewi...
Anataka kuzungumzia urafiki wa watu gani?
 
Zari ashakuja bongo mara nyingi lakini hajaongelewa sana kama ilivyo sasa yupo na Daimond
Daimond kamfanya Zari aongelewe hiz siku si mchezoooooo Almas
 
Kwani hela katoa wapi??

So alikuaga punda akazimeki.za kutosha yeye na mumewe then wakainvest kwenye real estates sasa wamestaafu na wamevurugana na mumewe kamuolea mke mdogo bibie vimemshinda so wamegawana pasu kwa pasu na amebaki na watoto anaendeleza biashara zake zikiwemo mabotique kadhaa pale Pretoria pia ni mmoja wa wamiliki wa Boston Universities
 
So alikuaga punda akazimeki.za kutosha yeye na mumewe then wakainvest kwenye real estates sasa wamestaafu na wamevurugana na mumewe kamuolea mke mdogo bibie vimemshinda so wamegawana pasu kwa pasu na amebaki na watoto anaendeleza biashara zake zikiwemo mabotique kadhaa pale Pretoria pia ni mmoja wa wamiliki wa Boston Universities

naskia anapenda dogo dogo hatarii
 
Back
Top Bottom