Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kina Elton John Naona Wamejazana Humu Kumtetea Mwenzao.Mimi Nawaomba Kabla Ya Kumtabiria Mtu Anguko Kazi Ambayo Mmekuwa Mkiifanya Kwa Miaka 6 Sasa.JITABIRIENI BASI NA NINYI KUWA MTAKUWA MABILLIGATES BAADA YA MIAKA 5.HUMU DIMPOZ MIJITU ILIMTUKANA KIPINDI KILE KASEMA NGWAIR MASIKINI, LEO WANAMTETEA NA USHOGA WAKE.WATU WANAFIKIII.AKILI ZA TEAM KIBA NA BAVICHA ZINAFANANA - AKILI ZIMEBAKI MATUSI,TABIRI NA KUDEKI BARABARA.