Diamond atoa jibu la utata kufuatia interview ya Ommy Dimpoz

Diamond atoa jibu la utata kufuatia interview ya Ommy Dimpoz

Kina Elton John Naona Wamejazana Humu Kumtetea Mwenzao.Mimi Nawaomba Kabla Ya Kumtabiria Mtu Anguko Kazi Ambayo Mmekuwa Mkiifanya Kwa Miaka 6 Sasa.JITABIRIENI BASI NA NINYI KUWA MTAKUWA MABILLIGATES BAADA YA MIAKA 5.HUMU DIMPOZ MIJITU ILIMTUKANA KIPINDI KILE KASEMA NGWAIR MASIKINI, LEO WANAMTETEA NA USHOGA WAKE.WATU WANAFIKIII.AKILI ZA TEAM KIBA NA BAVICHA ZINAFANANA - AKILI ZIMEBAKI MATUSI,TABIRI NA KUDEKI BARABARA.
 
kama tu Zitto alihakikisha Machali & Kafulila wanaanguka kwenye uchaguzi, itakuwa Mond kwa Ali Kiba?

Tatizo ni watu wa mwisho wa reli ni kudhani wao wanastahili vyote.
 
Mungu azidi kumsimamia Diamond Platnumz, wamezoea kutafuta kiki kupitia yeye.

Mumuache nae awape zake, wakome.

Wakitaka kurudi na nyimbo lazima Diamond y sio Mr. Nice, upwumba umewajaa ila kwake ndio anazidi kushamili

Haya kaenda kazini, njooni nanyi mburudike na show yake.
Wewe usizungumze kauli hzo we kama ewelewi kaa kmya dimpoz yko sahihi au ujasikiliza pnde mbili we pnda nyimbo zake usipenda na roho yke wee wawapiiii[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Yuko wapi mr nice alijishusha na akapotea.
Acha kutete mjinga mwenzio.
Kwanini ajifiche au aishi kwa uoga kwani kipato chake nichakuomba?
Kipato ni mali tu tumezikuta duniani tutaziacha duniani... Kwa faida yako pia money can't buy you happiness or heal your sorrows pesa huwa hazitoshi hata uwe na makontena ya hela...
 
Ha ha haaaaaa

Mwambieni Omi atoe hiyo pesa afanye collabo, sababu Davido yupo kwani alimkimbia au?

Kichekesho cha mwaka


Watu wanafanya collabo kwa nini yeye iwe Diamond alimtangulia kwani collabo zilipigwa marufuku tangu

Mbavu zangu, hawa wasaniii wengine umaskini unawasumbua kama omimi
Namie nashangaa kwani davido na iyanya wameacha kuimba? Si afanye hilo collabo
 
Wanamuziki wa Tanzania, hajulikani aliefanikiwa wala hasiefanikiwa
 
Sina team yoyote ila kwa hizi siku 2 diamond umejishushia hadhi sana.... Halafu si kila afanikiwae huwa ni bless za jah..... Na si kila ambae hajafanikiwa hana bless za jah na haistahili kumbeza.... Mtoaji ni mungu alie hai
Illuminate cku zote huwa wanaamini katika miungu yao na sio Mungu maana diamond anaongea hivi kwa kujiamin
 
sasa mimi nashangaa
kwani davido alivofanya collabo na chibu kakimbia?
au iyanya kaacha mziki?
si akafanye nae na yeye?!
ommy anataka kujifanya kama innocent alionewa ...
kila kitu kina mipaka bwana sio kufatana fatana kama wanawake!
halafu sasa kama diamond angekua na roho mbaya asinge wasainisha kina rich mavoko akawakuza!
diamond hajaziba ridhiki ya mtu yoyote.. mwenye kutaka kwenda international aende kimpango wake jamani njia siwanazijua?!

urafiki sio mpaka kwenye kazi! muziki ni ushindani kila mtu lazima afiche karata yake..
yeye ommy alitaka kubebwa mpaka lini??
Dada yangu hebu weka akiba ya maneno kidogo basi, anakwambia kwa Davido yeye alkuwa anatoa dola 3000 mkubwa katoa elfu tano hapo definitely huyu bwana thamani imepanda, sasa unajua vipi kama ile ndo ilkuwa senti yake ya mwisho?? Na it seems kama mwana he knew this... Hapa lazma hata km ni ww ujisikie vibaya, hii can be the same applied kwa Iyanya. Na kuhusu suala la kuwasaini akina Rich n co. sio bure hyo ni biashara na kuna mtonyo anapiga pale so sio km uthibitisho wa roho safi na kujitolea fursa ile. Anyways hatuyajui mengi nyuma ya pazia ila naomba tu next time usitumie hoja nyepesi kutoa hitimisho ktk masuala mazito na nyeti
 
Maisha ya mtu yeyote hayanihusu. .si Diamond, si Ommy wala yeyote yule. .ukiwa na hasira na maendeleo ya wanaokuzunguka unaweza kuwa mchawi... nani alikwambia masikini atabaki kuwa masikini? jipange na wewe utatoka lakini si kwa kuombea mabaya walio jaribu bali kwa kuiga mazuri yaliyo wafikisha hapo
Wewe akili huna Inaonyesha Hata vitu unavyonunua huwa hausomi maelekezo vizuri
 
Hawa waha wawili cku hiz wanatk kua kam wamekula vima nilkua namuheshimu mond na nilkua team yake asilimia 75 na kiba 25 sasa rasmi mimi ni timu kiba originali till now anajishusha sana mbna mwenzie hana makuu
Karibu sana team mziki mzuri, Vita kiti ukae, unakunywa kinywaji gani
 
Watu wanafiki sana, Diamond kaanza kutukanwa na kusemwa vibaya siku nyingi sana, lakini siku zote hizo anakaa kimya hajibu chochote. Kama Binadamu lazima tukubali kwamba kuna wakati uvumilivu unafika kikomo. Mwacheni Diamond naye ajibu. Halafu tukumbuke kwamba hadi sasa Diamond bado hajaweka wazi chazo cha ugomvi. Siku atakapojibu ndio tutajua nani mbaya.
Katukanwa wapi?? Na nan?? Una ushahidi?? Diamond na uswahili ule ni MTU wa kunyamazaa?? U can't be serious
 
Jamani wale team diamond vingunge wenyewe mko wapi?
Mbona mmekaa kimya sana katika hili sakata ilhali mpo humu?
Tunahitaji kusikia kutoka kwenu kuhusiana na hili,sio sawa kabisa kukimbia jukwaa kwa issue kubwa namna hii inayomhusu mnayemtetea huku kila uchwao.

Siku 2/3 hizi mmetuachia jukwaa,tunawamisssssss

cc Chinga One chige The bold
 
sasa mimi nashangaa
kwani davido alivofanya collabo na chibu kakimbia?
au iyanya kaacha mziki?
si akafanye nae na yeye?!
ommy anataka kujifanya kama innocent alionewa ...
kila kitu kina mipaka bwana sio kufatana fatana kama wanawake!
halafu sasa kama diamond angekua na roho mbaya asinge wasainisha kina rich mavoko akawakuza!
diamond hajaziba ridhiki ya mtu yoyote.. mwenye kutaka kwenda international aende kimpango wake jamani njia siwanazijua?!

urafiki sio mpaka kwenye kazi! muziki ni ushindani kila mtu lazima afiche karata yake..
yeye ommy alitaka kubebwa mpaka lini??
HV huyo rich unamuona ndo rich wa follow me?? Marry me?? Pacha Wang?? Hapana aisee anguko la mavoko naliona soon
 
Diamond tunakupenda, lakini kwa hili taratibu tafadhali, kutangulia sio kufika, safari ni hatua. Uliyemtangulia haina maana kwamba eti "Mungu hajamfanikisha au kamuadhibu" pengine wakati wake haujafika. Ni vema ukachagua maneno ya kuongea na usipendelee kujikweza hadharani huku ukiwabeza watu, haipendezi.
Diamond anasahau kuwa hata shetan pia anaweza kumfanikisha mtu, asisingizie mafanikio yake ni mungu, maana matendo yke sio ya mtu aliyebRikiwa na mungu, akumbuke kuna mungu, asilewe umaarufi
 
Diamond tunakupenda, lakini kwa hili taratibu tafadhali, kutangulia sio kufika, safari ni hatua. Uliyemtangulia haina maana kwamba eti "Mungu hajamfanikisha au kamuadhibu" pengine wakati wake haujafika. Ni vema ukachagua maneno ya kuongea na usipendelee kujikweza hadharani huku ukiwabeza watu, haipendezi.
Diamond anasahau kuwa hata shetan pia anaweza kumfanikisha mtu, asisingizie mafanikio yake ni mungu, maana matendo yke sio ya mtu aliyebRikiwa na mungu, akumbuke kuna mungu, asilewe umaarufi
 
Back
Top Bottom