Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully Sykes

chige kiuswazi hua wanaangalia kama ukienda kwenye misiba kula huli na kwako watakuja ila kula hawali. Kuna Jirani yangu hua anahudhuria misibani kisha anachambua mchele kisha anapika ila mida ya kula hali sasa na yeye wakamfanyia hivyo hivyo ikabidi akaite bodaboda waje kula
 
Last edited by a moderator:
Dully mwenyewe hahudhurii misiba ya watu
 
Msiba wa muhusika siku zote unategemea heshima yake binafsi na namna alivyoishi na watu wake Jirani ndugu jamaa na marafiki, tujitahidi kuishi kwa kumpendeza mungu na kufanya mazuri kwa watu wetu hivyo inatosha kuwa faraja kwa wafiwa kwa kuwa kuna mema yakukumbukwa dhidi ya marehemu na mifano ya kuigwa kwa watakaosikia Yale mazuri ya marehemu vinginevyo tutajidanganya tu hata uzikwe na mamia kwa maelfu lkn ukikosa sifa nzuri hata wahudhuriaji watakuwa kwenye kukusononekea kwa hasara utakayokuwa ukiondoka nayo.
Mungu amsamehe na amuepushie adhabu za kaburi huyo marehemu.
 
Haya ss ngoja tuwaone hao wanaomponda kama wameshafika kwenye msiba wa Mez B
 
Kwani Dully amelalamika kuhusu Diamond kutoenda msibani? Wakilalamika wapambe ni wao na mtazamo wao. Maneno yakizidi watu wanaropoka hadi visivyokuepo.

Uchonganishi tu.
 
Ndo maana nikasema hivi, iwe hajaenda Diamond au yeyote yule, Dully hakutakiwa kulalamika... kama wa kulalamika, wangelalamika wengine kwa niaba yake! Si busara kumlalamikia mtu kwamba mbona hukuja kunitazama wakati naumwa au kwanini hukuja kwenye msiba wa ndugu yangu... likitokea jambo kama hilo unatakiwa kukausha huku ukifahamu kwamba kumbe niliokuwa nawadhania ni wenzangu; sio wenzangu!

Binafsi niliwahi kukutwa na misiba miwili... mmoja wa m-sure wangu na mwingine wa sister angu kipenzi! Kwa bahati mbaya, sikuwapo! Nilipofika miezi kadhaa baadae, nikamuomba my best friend, I repeat, MY BEST FRIEND! Huyu bwana nikamuomba anipeleke akanioneshe kaburi la m-sure na sister! Sikuamini hata kidogo aliponiambia hakuhudhuria mazishi ya yeyote kati ya hao kwahiyo alikuwa hajui makaburi yalipo!!!! Hii ni true story, sijawahi kumwambia yeyote na siri hiyo ndo naitoa hapa kwa mara ya kwanza! Na wala mshikaji sikumuuliza na wala sijamuuliza ni kwanini hakuhudhuria... ikabaki siri yangu ingawaje niliumia kishenzi!!!!! Sikumuuliza kwa sababu nilihisi labda aliona misiba ile haikumuhusu...! Panapo msiba ni wako peke yako na sherehe ndiyo ya wote... kwahiyo unatakiwa tu kumsubiria rafiki wa kweli aje na asiyekuja huna sababu ya kuhoji kwanini hakuja... labda aanze kueleza mwenyewe kwanini hakuja!
 
chige thanx tumeelewana kiswazi unakuta mtu kafiwa lakini anafanya SENSA
Ya waliokula au waliokuja. Pole mkuu past it touches
 
Last edited by a moderator:

Kama ndo mnavyoishi hivyo na kwenye jamii zenu basi hongereni.

Btw; unafikiri ni kwanini Diamond ameamua kujielezea? Hivi kweli kulikuwa na ulazima wowote wa kujitolea sababu?
 

Hapo umenena.
Na kwa mtazamo wangu wala Diamond hakutakiwa kujieleza.
 

Ungesikiliza interview ya dull clouds Fm, haikuhitaji akili za chuo kikuu kugundua alikuwa anamaanisha nini! Hahhah afu dully wa ajabu nyie eti kasema imemuuma diamond kutokuja kwani anampenda sana! (Yaani dull anampenda sana diamond! ) haya ni maajabu mengine lol!
 
Hapo umenena.
Na kwa mtazamo wangu wala Diamond hakutakiwa kujieleza.

Ifikie time watu wa karibu wa diamond wamshauri maswali ya kujibu na namna ya kuyajibu, unless anawatafutia waswahili cha kuongea, hili ni la muhimu sana kwa afya ya heshima ya kipenzi chetu diamond (kwa Wale tunaompenda na kumtakia mema) mi naamini humu wapo watu wa karibu na Diamond sana Akina Romy, Esma , kifesi na managers wake, kwenye swala kama hili hakutakiwa kutoa maelezo meeeeengi lakini alitakiwa kujibu technically! Cc Ruttashobolwa chige Dinazarde Kim nana
 
Last edited by a moderator:

Unajua Diamond aliona labda akikaa kimya watu wangefikiri yanayo sema ni kweli na ukizingatia kuna watu walianzisha campaign ya kuhakikisha anaonekana ni mbaya..kwa asingeweza kukaa kimya na inaonekana alipigiwa simu na watu wa clouds nimesoma sehemu na anasema alipo pata taarifa alimpigia Dully simu na alisema yuko katika kipindi kigumu sana sema watu hawafahamu.

Kifupi nimegundua Dully ana zaidi ya hili la msiba.
 
Last edited by a moderator:
huyo dully nae anamatatizo baadala kumuenzi baba yke msiban yeye anapiga sensa kwan shoo hyo kwamba diamond angeongeza mashabiki#wat if zile post za insta zilikuwa za mda mfupi....nchi huru hii.....# dully ni bogas
 
+ tumuone huyo dully kama ataenda DODOMA for MEZ B....maaana yeye ndo muhudhuriaji wa kila msiba
 
Majibu haya hayakuwa ya lazima na wala hayakusaidia kabisa hasa kwa vile kila mtu anajua jinsi alivyokuwa akiponda raha huko vekesheni; ijulikane kuwa Diamond hakulazimika kuwapo msibani pale hasa kwa vile ulitokea wakati yeye alishakuwa commitment nyingine. Lakini alivyojibu ni kama vile aliweza kuwapo ila alipiga chenga hivyo sasa anataka kujustfy chenga zake. Ndiyo maana ya kuwa na meneja; Diamond ana meneja anayejua sana kujibu mambo kama haya, angemwachia yeye ndiye atoe majibu kwa sababu hata kama meneja akikosea huwa lawama zinaishiea kwake hazimfikii staa mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…