[emoji15] mens of Dar again...!!!
C' mon mens????
Dude, seriously?!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] mens of Dar again...!!!
Hii habari ingekuwa Na Picha ingependeza sana, hata sie ambao sio wa Dar tuone....!
Pia kula mihindi na limao + pwezaYahp, tunasubiria mida yetu ya kwenda kula chips yai na kuku wa kizungu.
Kwel sheta kabakisha picha moja tu...yeye na ney..mkeo anatumia jina gani IG?
Ujuwe umenihesabu na mimi mumeoHaaaaaa wanaume wa Dar katika ubora wao lols.....
Yule bint ni mrembo mno namjua sijui hata nimfananishe na nani urembo wake na naijua familia yake . Walipinga sana kuolewa na sheta bint wawatu akaacha chuo ifm mapenzi yalimkolea akaaribu career yake.
Taarifa zimfikie Ney wa mitego.." Zee la my new ride"hahahaa! kama namuona schoolmate wangu na sura km mzee KOVA
all in all kutafuniwa mke inama vibaya mno
kumbe mrembo mwenyewe ndio huyu basi sawaBinamu we uko wapi vile...
MweeWanaume wa Dar.
Inasemekana Diamond amevunja ndoa ya Baba Qayllah na Mama Qayllah baada ya Diamond kuwa na uhusiano wa siri na huyo mwanamke.
Baada ya Shetta kujua hili alipatwa na hasira, inasemekana alitaka kufuta picha zote alizoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram lakini akajistukia watu watauliza kulikoni. Alichofanya ni kufuta picha zake zote kwenye akaunti yake ya Instagram na kuanza upya kupost.
Kwa wale wambea na wanaume wa Dar unaweza kucheki kwenye akaunti ya Shetta na kushuhudia video moja ya Shetta. Pia mama Qayllah kwenye profile ameweka picha ya Diamond na Qayllah.
Hayo ndio yaliyojiri kwenye ''You Heard''
Maria rozaMke wa shetta anatumia jina gani IG?
Acha umbea wewe, lala kesho uwahi kuamka ukalime!Hii habari ingekuwa Na Picha ingependeza sana, hata sie ambao sio wa Dar tuone....!
Wa kawaidaaa, watu wanajua kupambia bwana, mi nilijua bonge la dude, nashukuru Ndugu Kwa pichaBinamu we uko wapi vile...
C' mon mens????
Dude, seriously?!!!!!!