Mziki ni kazi ya anasa,Ndio maana madisco yameajiri watu na yanafungwa ni anasa
Kwan TV unadhani unaanzisha tu kesho ukiamkaa Una TV ina hijati mda ww
ππππππ mi mbona diamond namkubali siwezi mrushia makopo yule nawapenda wote ila kiba ndo saaanaa#good music
kwanza ni unafiki kuwa na mwezi mmoja mtukufu katika mwaka mmoja.
mkuu matusi sio dili hayo mambo ya kitoto halafu ongea point sawa sio unakurupuka tu ??
Diamond ana jielewa ww huyu mb Dogg alidhulumiwa lini mbona alirudi kuomba kurudi kwa tale km alikuwa Ana dhulumiwa
ππππ karudi wapi acha uongo mb dog na q chief wapo kwa qsj mounder ndo manager wao ye na q chief wale matapeli labda marehemu abdu bonge r i p ila wale ni matapeli
Ummy kitwana kafanya nn ndo kawapatanisha juma n diamond
Safi sn me pia niikuwa namuelewa kiba wa zamani kesho tusikilize xxl clouds FM wana review album ya kiba Cinderella
ππππππ jibu kwanza unamjua??? umykitwana???
mkuu mambo ya imani hayaingiliwi je huoni kuwa unamakosa hapo kwa dharau dini nyingine au unataka ban kinguvu ngoja!
Sasa kama unaenda kutingisha na kukata mauno umefunga ya nini
we unaona yupo serious mwaka huu ndo anaanza kufanya mziki rasmi nyimbo mbili za kiba na 15 za diamond we huoni utofauti hapo
kabla ya hilo ilitakiwa uwekee shaka uislam wa wanamuziki wote unaowafahamu... ndio maana nimesema imani aachiwe kila mmoja wetu...
Coz sidhani kama Mungu unaomuabudu anakuruhusu kutumia pesa ununue simu uje kujadiliana huku jf, wakati kunawatu kibao hata pesa ya kula hawana JE UNAONA WEWE KUMILIKI KIMEO NI BORA KULIKO WAO?? SHERIA GANI YA DINI INASEMA UJITHAMINI NA MAMBO YA KIDUNIA KULIKO WENZAKO???
fanya fasta uza vyote unavyomilki vya thamani share na wasio jiweza uende mbinguni sio kwakujifanya shekhe hapa kwa kuongea shudu lako
Namjua ndio n family wa clouds tanga product eeh nipe ubuyu
Safi sn me pia niikuwa namuelewa kiba wa zamani kesho tusikilize xxl clouds FM wana review album ya kiba Cinderella
As u sayed you better reserve your energy, haya mambo ni magumu sana mwisho wa siku wote tunaweza kujikuta motoni siku ya mwisho (kama kweli huo moto upo)
Hata hao wanaofanya kazi halali kuna haramu ndani mfano, mwalimu anayetembea na mwanafunzi wake, nesi anayekataa kumuhudumia mgonjwa kwa makusudi, mhasibu anayechakachua (few mentioned)
Tuache tabia ya kuchagua ni zipi dhambi wakati zingine tunazipaka rangi nzuri ili zisionekane kuwa ni dhambi!
Hapo sa umetukanwa??
Kwanza umechaguliwa shule gani advance....ushanunua jembe na mpini???
Mnaenda jkt mwaka huu??
Kedrick hakuna ubuyu zaidi ya huu banah!au Vepeeeee????
Namjua ndio n family wa clouds tanga product eeh nipe ubuyu