Diamond avunja rekodi ya umati mkutano wa Dewji Singida


😀😀😀😀 sawa team diamond mnambwembwe saaanaa nyie ila huu mwaka huu utasema sana mara et anataka ashushwe mara kadhulumiwa tuzo ilimradi na yeye aonekane mnyonge diamond ila ukweli ni kwamba kila kitu na wakati wake
 

nilijua lazima livie nguo ya juu (behind the scene) kila show lazima afanye hivyo mysterious moment from diamond
 

Point yako ya msingi ni ipi? Kwenye hizo amri za Mungu wenu ndo aliwaambia kufanya mziki ni dhambi!? Umeniqoute bila kuelewa nilikuwa naongea nini na naongea na nani na kwasababu gani, Btw mwenzio ashasepa bado wewe!
 
Hivi kuna mwezi siyo mtukufu mbele za Mwenyezi Mungu?
 
mkuu hayo mambo yaacheni ni ya kiimani zaidi kila mtu na maamuzi yake mana mtu atazikwa mwenyewe na atabeba mzigo wake

Kwa Dunia ya Leo Dmond yupo sahihi sana, Maandiko yana sisitiza kufanya kazi halali.
 
Mziki ni kazi ya anasa,Ndio maana madisco yameajiri watu na yanafungwa ni anasa
Acha kukariri ndugu... kuna baadhi ya imani hata kwenye misiba yao wanapiga muziki, kwahiyo unataka kusema wanapiga kwa ajili ya anasa? Yaani bado unashindwa kutofautisha kati ya muziki unaopigwa kwa maana ya anasa kama inavyokuwa kwenye ma-disko na muziki unaopigwa kwa ajili ya kuhamasisha watu kama huo wa kwenye mikutano?! But all in all, kama anatenda dhambi or othewise, hudhani hilo ni lake yeye ni Mungu wake?
 

Leo instagram huko mi nacheka tuu!maana hata wakina mrekebishatabia leo wanajifanya wanamjua mungu!nimecheka sana sana sana sana leo!eti muislamu mzima anakatika viuno ramadhani hii"Hivi cheketua imeachiwa lini jamani si ramadhani hii hii?!coke studio wameenda lini kama sio ramadhani hii

Diamond leo amejua kunikomeshea watu wallah tena!!sio kwa kujaza uwanja kule khaaaaa!!
 
Anachokifanya mond ndio mfumo wa maisha unavyotakiwa.wakat wao wanaongea ww unaingiza mpunga kwa Mara ya mwisho mnakutana uzeeni.piga kazi bila kujali maneno ya watu.
 
Watu bhana....
Watu walienda pale kwa ajili ya mkutano daimond alikuwa extra kwanza ata watu walikuwa hawajui.
Nashangaa na kwa lowasa watu walijitutumua eti dai kajaza uwanja.
Mpaka mkutano unaanza hamna aliyekuwa anajua kuwa daimond angekuwepo watu tulishangaa tuu mtu huyo so ukumbi ulijaa kwa ajili ya lowasa na sio daimond..
Kick nyingine bhana upuuziii tuu.
 

Be wiser than other people if you can but dont tell them,trust me utatumia muda wako mwingi kuwaelewesha jambo dogo kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…