Diamond avunja rekodi ya umati mkutano wa Dewji Singida

Ebu na wew kwenda uko. Maana ata huelewi kinachoendelea...kwani ni lazma nimfollow? Kwa kifupi nina account na nilimfollow akaniblock kuna kingine?

Kumbe alikublock ndio maana unasema mpaka anaingia pale hakuna aliekua anajua ishu ni kwamba kila mtu alikua anajua diamond atatumbuiza ndio maana wakajazana
 
Hee!jamani ule uzi wa mashabiki wa allykiba wasusuia video ya chekecha umeondolewa au??ahahahahahahahahahaaa!!!watu wanajua kulialia
 
SAHIHISHO
Allah (S.W)
mtume Muhammad (S. A. W)
 
akili ya kufanya kazi ya WCB president,bado inazid kumpa nguvu ya kutimiza wajibu wake..as z team,a wish him good..?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…