Ebu na wew kwenda uko. Maana ata huelewi kinachoendelea...kwani ni lazma nimfollow? Kwa kifupi nina account na nilimfollow akaniblock kuna kingine?
SAHIHISHOMwenye mamlaka ya kumuhukumu mtu ni mwenyezi Mungu (S.W.A) pekee.Pia upande wa pili wanasema usihukumu usije ukahukumiwa.
Ni dhambi au sio dhambi tumuachie yey mwenye mamlaka.
Dini ni pana kuliko tunavyozijua.Na mbaya zaid sis tulioletewa hiz dini ndo tunaziishi kuliko hata waliotuletea.
Kwa kuongezea pia,kuna sheria za Dini na Sheria za M/Mungu.Ni busara kupembua hiv vitu.
Ya kaisari aachiwe kaisari.