MUMU THE DON
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 148
- 183
mwandishi nae anajishau tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshafika kwenye saa 2.20. Ila mashabiki walikuwa kiduchu.Msanii wa kizazi kipya, Diamond platnums, amewaomba mashabiki wake kumpokea Airport usiku wa saa nne kesho jumatano kwenye viwanja vya julius k nyerere, akitokea nchini marekani alipoenda kwenye ugawaji wa tuzo za afrimma ambapo msanii huyo alishinda kipengele cha msanii bora africa mashariki.
"Baba ubaya na wewe sasa umetuchoka mashabiki wako, sasa sisi tukae macho hadi saa nne za usiku mpaka uje , sasa ukishakuja ndo nini labda? Yani tukupokee usiku halafu wewe na hao vibaraka wako mpande prado mrudi sinza , aya na sisi wakina abdala msogoti tunarudije kwetu usiku wote huo? Au utatukodishia mabasi ya kuturudisha om? Maana umetuita, Unapenda sifa mwenyewe kiama hadi unaita watu wakupokee? mmh ila utawapata maana kuna mashabiki wako wakikuona had wanajikojolea, mimi unitolee upuuzi wako apa.
Ndio tunajua unataka ufurahi na mashabiki wako, kwani unashindwa kuandaa special event pale leaders na mashabiki wakaja kukupongeza apo tena pakubwa tu, unasumbua watu tena bila aibu eti wakupokee saa nne usiku au ndo unataka kuvunja rekodi airport? Mnataka tu kuwasababishia watoto wa watu matatizo wabakwe uko na kuibiwa ndo ufurahi, mwenyew huyo unarud kwako na usafiri wako unawaacha wenzio wakihangaika na usafir au utawalipa? Apo utataka watu wakusindikize kwa miguu toka airport hadi kwako, wewe unapigwa na Ac wenzio wanapiga mguu, na utawapata wapo wengi tu ma jobless watakuja kukupokea".
Na bora umewaambia mapema maana kuna watu watatoka morogoro,kimbiji na mikoa yote watakuja kukupokea airport, maana kuna watu wana ndoto japo tu wakuone super star wao, sasa ndo uandae na guest wenzio walale maana si unapenda sifa ulipe na gharama , aya nadhani ujumbe wameupata.
Ameshafika kwenye saa 2.20. Ila mashabiki walikuwa kiduchu.
Mungu wangu apa hakuna mtu, ivi wewe iko kichwa chako kizima au kina minyoo? Aliyesema ndomo anafika airport saa mbili nani? Wewe hakyamungu ni tahira wa haja
Mimi nime post ndomo anakuja kesho saa nne usiku kawaambia mashabiki wake wakampokee airport, sasa huu utumbo wako wa sijui canada mara ndege gan inaruka mkund*uni sasa hayo yote unaniuliza ya nini? Wewe ni kilaza sijawahi kuona , yani wewe ni mjinga mpaka unaniudhi, Damn you
unajuwa Turkish airways inaingia saa ngapi? wewe umezoea kupokea watu ratiba za ndege tuulize wasafiri.
mbona diamond yuko na tuzo moja tu..... na ndio hiyo kaishikilia tuko kwenye msafara maeneo ya Buguruni sasa
Mpwa na wewe hawavumi lakini wamo.
Nimeshaiona, ma haters tunasubir tu tuone atakavyovunja rekodi ya kupokelewa na watu wengi kuliko hata OBAMA.
Inawezekana we dreva wa taxi pale airport ndo maana unajua ratiba za ndege zote, za Uturuki, za Lusaka, za Comoro etc.
Mi nasafiri sana tu, wala hiyo isikusumbue.
mbona diamond yuko na tuzo moja tu..... na ndio hiyo kaishikilia tuko kwenye msafara maeneo ya Buguruni sasa
Si mashabiki maandazi wanajiropokea tu kama hawana akili nzuri, yani mashabiki wa ndomo wana ushamba flani iv unawasumbua na ulimbukeni
Nasikia watu wachache ni kweli? Maana mvua hii mmh kweli ma haters na wachawi wamefanya yao
Katangaza kabisa waende kumpokea saa usiku , yani ana wazimu huyu si bure
ngoja waende kuibiwa mitaa yenyewe ile ya watoto wa mbwa mwitu pumbavu
wanacheza na maeneo yale kuanzia kipawa,kiwalani,vingunguti yote ya watoto wa mbwa ile
watu walikuwepo wa kutosha tu....., huyo aliesema wachache sijui katumia kipimo gani.....
nimekumbuka diamond alipochukua ile tuzo akasema "i wanna dedicate this award to my president Jakaya Mrisho Kikwereee" mambo ya kuslangisha... kikwete ikawa kikwere
watu walikuwepo wa kutosha tu....., huyo aliesema wachache sijui katumia kipimo gani.....
nimekumbuka diamond alipochukua ile tuzo akasema "i wanna dedicate this award to my president Jakaya Mrisho Kikwereee" mambo ya kuslangisha... kikwete ikawa kikwere
Sasa kwa nini usini tag au kuni quote ili nisome ujumbe wangu? Au ndo nidhamu ya uwoga? Kama umeishiwa point na umefilisika maneno ni bora ukae kimya na ukubali matokea, hayo mambo ya ushoga sijui niliwahi kukutongoza inbox nikamuomba t@ko au ndo mapovu yanakutoka ndugu yangu
inamaana si tunaokaa Vingunguti kiembe mbuzi ni watoto wa mbwaa mwee...
ngoja nikanunue supu kwa wagogo hapa... karibu supu