Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Mambo ya touch screen haya....
Hahahhaa sure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya touch screen haya....
Haaha ahaha hata mimi mda mwingine nasomaga ninavyo comment nacheka sana hadi nawaza sijui nilikuwa nafikir nini kuandika vile ahaha ahah
Unajua mwanzo nilifikiri ni utani sababu najua swala la kupokelewa si la kuomba ni swala ambalo unajikuta uanapata au linapangwa kwa siri bila mhusika kujua ndio linakuwa zuri!
Sasa hili la muhusika kuomba kupokelewa limenishangaza sana na nimecheka!
Me hata saa 10 ntaena tena natoka zangu gongolamboto mapema.mdogomdogo mpaka air port nampenda shem darling mie miaka buku
Tatizo lako hujui kitu halafu unajifanya unajua, huna idea ya safari za ndege kabisa. Sasa niambie, ndege gani inatua Dar-salaam saa 8 usiku.
Huyu jamaa simkubali hata kidogo. Na wasiwasi mfreemanson may be
Umeanza vizuri halafu ukaboronga. Anaconda alienda kupokea tuzo mwenyewe wala hakuwakilishwa.
wasiwasi wako, maradhi yako
Tulia wewe wengine hatupelekwipelekwi kama nyie. Mfano wimbo wa nataka kulewa lewa umebeba ujumbe gani wa kuisaidia jamii. Tupa kulee
hujapewa unyumba na mkeo hasira uje umalizie kwangu.
fasihi ina kazi kuu mbili 1.kuelimisha na 2.kuburudisha in case u didn't know...,kama hukuona ujumbe ujue kazi no 2 ilihusika kama hukuona vyote viwili then that is your problem.
wimbo hauna ujumbe we wako wenye ujumbe uko wapi????
Wewe mbumbu peleka ujinga kule. Unaburudisha huku unabimoa jamii kwa kuiambia ilewe sio
nimeanza kukusoma sasa ujue.......
sa Mama ubaya kwanini alituambia hizo habari
unajifanya kuponda ukipewa pen na karatasi uandike japo nusu verse macho yatakutoka ka fundi saa aliepoteza nati...
mmelazimishwa kusikiliza nyimbo zake si mumsikilize Bonny mwaitege, msondo ngoma...,muijenge hiyo jamii.
Ndio tunafanya ivo. Ukikosa kiasi utashabikia hadi shetani na kazi zake. Msukule sio lazima uokote makopo hata kushabikia ujinga kwa kupelekwpelekwa na kufuata mkumbo ni usukule mkubwa sana
Nchi kuwa na raia kama wewe ni hasara tupu.
we kweli chizi waheed,
eti ooh huyu jamaa Freemason na mawazo yako ya mgando mtabakia kuwa watabiri na kusugua gaga mtaani ye anasonga....
nitamshabikia diamond na siachi abadan asilan...siwezi kuacha kumshabikia kisa maneno ya wakosaji kama wewe...
Msukule utaachaje wakati hujitambui. Wew endelea kwani umenyimwa. Kwani kanumba ilikuaje baadae si ndo mlianza kustuka ooh imekuaje ivi ni kweli, sangapi tena mambo ndo yashakua na umeshikwa masikio