Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tuwaulize mashabiki wa ndomo hakuna msanii mwingine zaidi yake? Tumemchoka
Kuna watuy wajiombwa mauako na biamond wapi tayari kutoa kabisa tena watabua buklta hata kabla ya neno vua halijaisha,
Honey, leo ni tarehe 29/july, anatakiwa afanye perfomance Canada kuanzia tarehe 2/august.Hapo juu umeonyesha kwamba kesho watu wanatakiwa wampokee airport. Ni uzushi tu hou.
Kuna watuy wajiombwa mauako na biamond wapi tayari kutoa kabisa tena watabua buklta hata kabla ya neno vua halijaisha,
hahaaa ingekua mchana hapo sawa ila hiyo nite nite hawezi kuingia hata nusu ya wale wa kwa Obama
kausha weeeeAya wewe Dinazarde si shabiki wa ndomo wewe? Ndo uje uku dar mwenzio kawaomba mkapokee airport anakuja kesho saa nne usiku, sasa sijui kama mtalipiwa na nauli za kwenda na kurudi au ndo ntolee na kazi mnayo mwaka huu
Cc : zavi, geniveros, Heaven on Earth, lusungo, amu, TATIANA, ROBERT MICHAEL, Matola, matumbo, qn of sheba, princess sayuni, Lady kims, maatope, Mrembo by Nature, Madame B
Mmh kuna watu wana mahaba na ndomo binamu wataenda na ivi hamna kiingilio ndo kabisa , maana ingekuwa show wangetozwa elfu kumi kuingia sasa apo free entrance akina abdala msogoti washindwe wao tu ila na yeye katisha saa nne usiku? Sasa wenzie wanarudije wakimpokea? Ndomo anapenda ufalme kiama
Umeongea ki great thinker pokea like ume think beyond
Aiseee! nimecheka sana hili tangazo!cc Salamander binamu warumi sio mzushi jamani
Aiseee! nimecheka sana hili tangazo!
Honey, leo ni tarehe 29/july, anatakiwa afanye perfomance Canada kuanzia tarehe 2/august.Hapo juu umeonyesha kwamba kesho watu wanatakiwa wampokee airport. Ni uzushi tu hou.
Mmh kuna watu wana mahaba na ndomo binamu wataenda na ivi hamna kiingilio ndo kabisa , maana ingekuwa show wangetozwa elfu kumi kuingia sasa apo free entrance akina abdala msogoti washindwe wao tu ila na yeye katisha saa nne usiku? Sasa wenzie wanarudije wakimpokea? Ndomo anapenda ufalme kiama
Unajua mwanzo nilifikiri ni utani sababu najua swala la kupokelewa si la kuomba ni swala ambalo unajikuta uanapata au linapangwa kwa siri bila mhusika kujua ndio linakuwa zuri!lawyer nini kimekuchekesha
Sasa chuki hiko wapi kwenye huu uzi?Hizi ndizo akili za watanzania, ni chuki chuki chuki chuki
Diamond mashabk wako tupo usijal