Diamond awaomba mashabiki kumpokea Airport

Diamond awaomba mashabiki kumpokea Airport

Status
Not open for further replies.
Jaman mwenzenu kawaomba muoneeni huruma ,mkampokee aiport

yani ckuelewi tukikujibu twaenda kumpokea unarusha mkwara wa kumwaga tindikali Mara muoneeni huruma.
Kulikoni vuguvugu au hutaki watu wakustukie kama unahimiza mapokezi ya Almasi Platnumz??????
 
Kusoma hujui ata picha uoni? Ebu acha ushamba wako wewe , mimi sio -------- ku post kitu ambacho hakipo, Heaven on Earth picha hii apa ya ndomo akiomba kupokelewa maana mijitu mibishi ka mishipa ya mbo0, sasa na apo abishe kama sijamwagia tindikali mfyuuu

Tatizo lako hujui kitu halafu unajifanya unajua, huna idea ya safari za ndege kabisa. Sasa niambie, ndege gani inatua Dar-salaam saa 8 usiku.
 
Msanii wa kizazi kipya, Diamond platnums, amewaomba mashabiki wake kumpokea Airport usiku wa saa nne kesho jumatano kwenye viwanja vya julius k nyerere, akitokea nchini marekani alipoenda kwenye ugawaji wa tuzo za afrimma ambapo msanii huyo alishinda kipengele cha msanii bora africa mashariki.

"Baba ubaya na wewe sasa umetuchoka mashabiki wako, sasa sisi tukae macho hadi saa nne za usiku mpaka uje , sasa ukishakuja ndo nini labda? Yani tukupokee usiku halafu wewe na hao vibaraka wako mpande prado mrudi sinza , aya na sisi wakina abdala msogoti tunarudije kwetu usiku wote huo? Au utatukodishia mabasi ya kuturudisha om? Maana umetuita, Unapenda sifa mwenyewe kiama hadi unaita watu wakupokee? mmh ila utawapata maana kuna mashabiki wako wakikuona had wanajikojolea, mimi unitolee upuuzi wako apa.

Ndio tunajua unataka ufurahi na mashabiki wako, kwani unashindwa kuandaa special event pale leaders na mashabiki wakaja kukupongeza apo tena pakubwa tu, unasumbua watu tena bila aibu eti wakupokee saa nne usiku au ndo unataka kuvunja rekodi airport? Mnataka tu kuwasababishia watoto wa watu matatizo wabakwe uko na kuibiwa ndo ufurahi, mwenyew huyo unarud kwako na usafiri wako unawaacha wenzio wakihangaika na usafir au utawalipa? Apo utataka watu wakusindikize kwa miguu toka airport hadi kwako, wewe unapigwa na Ac wenzio wanapiga mguu, na utawapata wapo wengi tu ma jobless watakuja kukupokea".

Na bora umewaambia mapema maana kuna watu watatoka morogoro,kimbiji na mikoa yote watakuja kukupokea airport, maana kuna watu wana ndoto japo tu wakuone super star wao, sasa ndo uandae na guest wenzio walale maana si unapenda sifa ulipe na gharama , aya nadhani ujumbe wameupata.

sasa sikawaomba mashabiki wake?!, we kama siyo shabiki wake si utulie, ................

Grand PA
 
Tatizo lako hujui kitu halafu unajifanya unajua, huna idea ya safari za ndege kabisa. Sasa niambie, ndege gani inatua Dar-salaam saa 8 usiku.

Unajibaraguza kitu gani? Si ulisema mimi muongo sasa unajizugisha nini apa? Ayo mambo ya ndege mi yananihusu nini wakat unaona kabisa alichopost ndomo au ndugu yangu una matatizo ya akili wewe? Sasa unabisha nini apa?
 
sasa sikawaomba mashabiki wake?!, we kama siyo shabiki wake si utulie, ................

Grand PA

Ivi unajielewa mkuu? Nilikuwa nakuheshimu kumbe kichwani hamna kitu, sasa kama sio shabiki wake nitulie nini sasa? Ivi unajielewa lakini? Uko sawa wewe? Isije ubongo ukawa umeamia kwenye tundu la haja kubwa halaf sie tunahangaika bure
 
yani ckuelewi tukikujibu twaenda kumpokea unarusha mkwara wa kumwaga tindikali Mara muoneeni huruma.
Kulikoni vuguvugu au hutaki watu wakustukie kama unahimiza mapokezi ya Almasi Platnumz??????

Eeh watu mnajua kukuza mambo, sasa nauli yako mwenyew , ndomo ukamuone wewe tindikali nikumwagie mie? Mmh kweli haya majanga sasa

Ndio nahimiza watu wakampokee diamond airport kwani kuna tatizo?
 
Me hata saa 10 ntaena tena natoka zangu gongolamboto mapema.mdogomdogo mpaka air port nampenda shem darling mie miaka buku
 
Me hata saa 10 ntaena tena natoka zangu gongolamboto mapema.mdogomdogo mpaka air port nampenda shem darling mie miaka buku

kesho saa moja hasubuh ndo anaingia ndo uende kwel sio unapiga kelele za bure humu uonekane shabik kumbe tapel
 
kesho saa moja hasubuh ndo anaingia ndo uende kwel sio unapiga kelele za bure humu uonekane shabik kumbe tapel

Yaan ntaamka asubuh na mapema nshamwachia mtu genge langu kwa ajili ya kumpokea shemeji kipenzi mimi ni shabiki kutoka kwenye damu sio tapeli kama kina fulani humu wanafiki tuu
 
Yaan ntaamka asubuh na mapema nshamwachia mtu genge langu kwa ajili ya kumpokea shemeji kipenzi mimi ni shabiki kutoka kwenye damu sio tapeli kama kina fulani humu wanafiki tuu

Vizur kama ni shabiki wa kweli
 
Mkuu nina matatizo ya kifua nikicheka sana nitashindwa kulala jamani!

Haaha ahaha hata mimi mda mwingine nasomaga ninavyo comment nacheka sana hadi nawaza sijui nilikuwa nafikir nini kuandika vile ahaha ahah
 
Haaha ahaha hata mimi mda mwingine nasomaga ninavyo comment nacheka sana hadi nawaza sijui nilikuwa nafikir nini kuandika vile ahaha ahah

Maana nimecheka mpaka nimejistukia na usiku huu nisije kufikiriwa nawanga bure jf jamani raha sana
 
Maana nimecheka mpaka nimejistukia na usiku huu nisije kufikiriwa nawanga bure jf jamani raha sana

Ahahah wasije kufikir upo kilingeni unafanya mambo, mi ndo om washaniziea kuniona nacheka peke yangu
 
Afu mbona huyu tu ndo anatangazwa maana magazeti ya shigongo na redio mawingu wanemuongelea Diamond tu kama Jide hajashinda.
Afu pia inaonesha hizo tuzo hazina hela ndefu ndio maana Jide hakwenda ifata ukute hata nauli alizolipia kuifata ni kubwa kuliko thamani ya tuzo

Umeanza vizuri halafu ukaboronga. Anaconda alienda kupokea tuzo mwenyewe wala hakuwakilishwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom