Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Makubwa so inabid akina abdala msogoti wa kimbiji waamke saa kumi hasubuh kuwahi airport?
Team wema leo hawatalalaaa nakuambiaa kazi wanayooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubwa so inabid akina abdala msogoti wa kimbiji waamke saa kumi hasubuh kuwahi airport?
Jaman mwenzenu kawaomba muoneeni huruma ,mkampokee aiport
Sasa ndo ujiulze je akija kufikia umri wa jide ki muzk bdo atakua ktk chat aliyonayo?
hahahahahaha kwa huu uandishi nitavujika mbavuKuna watuy wajiombwa mauako na biamond wapi tayari kutoa kabisa tena watabua buklta hata kabla ya neno vua halijaisha,
Kusoma hujui ata picha uoni? Ebu acha ushamba wako wewe , mimi sio -------- ku post kitu ambacho hakipo, Heaven on Earth picha hii apa ya ndomo akiomba kupokelewa maana mijitu mibishi ka mishipa ya mbo0, sasa na apo abishe kama sijamwagia tindikali mfyuuu
Msanii wa kizazi kipya, Diamond platnums, amewaomba mashabiki wake kumpokea Airport usiku wa saa nne kesho jumatano kwenye viwanja vya julius k nyerere, akitokea nchini marekani alipoenda kwenye ugawaji wa tuzo za afrimma ambapo msanii huyo alishinda kipengele cha msanii bora africa mashariki.
"Baba ubaya na wewe sasa umetuchoka mashabiki wako, sasa sisi tukae macho hadi saa nne za usiku mpaka uje , sasa ukishakuja ndo nini labda? Yani tukupokee usiku halafu wewe na hao vibaraka wako mpande prado mrudi sinza , aya na sisi wakina abdala msogoti tunarudije kwetu usiku wote huo? Au utatukodishia mabasi ya kuturudisha om? Maana umetuita, Unapenda sifa mwenyewe kiama hadi unaita watu wakupokee? mmh ila utawapata maana kuna mashabiki wako wakikuona had wanajikojolea, mimi unitolee upuuzi wako apa.
Ndio tunajua unataka ufurahi na mashabiki wako, kwani unashindwa kuandaa special event pale leaders na mashabiki wakaja kukupongeza apo tena pakubwa tu, unasumbua watu tena bila aibu eti wakupokee saa nne usiku au ndo unataka kuvunja rekodi airport? Mnataka tu kuwasababishia watoto wa watu matatizo wabakwe uko na kuibiwa ndo ufurahi, mwenyew huyo unarud kwako na usafiri wako unawaacha wenzio wakihangaika na usafir au utawalipa? Apo utataka watu wakusindikize kwa miguu toka airport hadi kwako, wewe unapigwa na Ac wenzio wanapiga mguu, na utawapata wapo wengi tu ma jobless watakuja kukupokea".
Na bora umewaambia mapema maana kuna watu watatoka morogoro,kimbiji na mikoa yote watakuja kukupokea airport, maana kuna watu wana ndoto japo tu wakuone super star wao, sasa ndo uandae na guest wenzio walale maana si unapenda sifa ulipe na gharama , aya nadhani ujumbe wameupata.
Tatizo lako hujui kitu halafu unajifanya unajua, huna idea ya safari za ndege kabisa. Sasa niambie, ndege gani inatua Dar-salaam saa 8 usiku.
sasa sikawaomba mashabiki wake?!, we kama siyo shabiki wake si utulie, ................
Grand PA
yani ckuelewi tukikujibu twaenda kumpokea unarusha mkwara wa kumwaga tindikali Mara muoneeni huruma.
Kulikoni vuguvugu au hutaki watu wakustukie kama unahimiza mapokezi ya Almasi Platnumz??????
kesho saa moja hasubuh ndo anaingia ndo uende kwel sio unapiga kelele za bure humu uonekane shabik kumbe tapel
Haaha ahaha hata mimi mda mwingine nasomaga ninavyo comment nacheka sana hadi nawaza sijui nilikuwa nafikir nini kuandika vile ahaha ahah
hilo hakuna anayejua mkuuukwani wewe ni mchawi
Afu mbona huyu tu ndo anatangazwa maana magazeti ya shigongo na redio mawingu wanemuongelea Diamond tu kama Jide hajashinda.
Afu pia inaonesha hizo tuzo hazina hela ndefu ndio maana Jide hakwenda ifata ukute hata nauli alizolipia kuifata ni kubwa kuliko thamani ya tuzo
Kuna watuy wajiombwa mauako na biamond wapi tayari kutoa kabisa tena watabua buklta hata kabla ya neno vua halijaisha,