Diamond awaomba mashabiki kumpokea Airport

Diamond awaomba mashabiki kumpokea Airport

Status
Not open for further replies.

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Msanii wa kizazi kipya, Diamond platnums, amewaomba mashabiki wake kumpokea Airport usiku wa saa nne kesho jumatano kwenye viwanja vya Julius K Nyerere, akitokea nchini Marekani alipoenda kwenye ugawaji wa tuzo za Afrimma ambapo msanii huyo alishinda kipengele cha msanii bora Africa mashariki.

Sasa umetuchoka mashabiki wako, sasa sisi tukae macho hadi saa nne za usiku mpaka uje , sasa ukishakuja ndo nini labda? Yani tukupokee usiku halafu wewe na hao vibaraka wako mpande prado mrudi Sinza , aya na sisi wakina Abdala Msogoti tunarudije kwetu usiku wote huo? Au utatukodishia mabasi ya kuturudisha home? Maana umetuita,

Ndio tunajua unataka ufurahi na mashabiki wako, kwani unashindwa kuandaa special event pale Leaders na mashabiki wakaja kukupongeza apo tena pakubwa tu, unasumbua watu tena bila aibu eti wakupokee saa nne usiku au ndo unataka kuvunja rekodi airport?

Mnataka tu kuwasababishia watoto wa watu matatizo wabakwe uko na kuibiwa ndo ufurahi, mwenyewe huyo unarudi kwako na usafiri wako unawaacha wenzio wakihangaika na usafiri au utawalipa? Apo utataka watu wakusindikize kwa miguu toka airport hadi kwako, wewe unapigwa na Ac wenzio wanapiga mguu, na utawapata wapo wengi tu ma jobless watakuja kukupokea".

Na bora umewaambia mapema maana kuna watu watatoka morogoro,kimbiji na mikoa yote watakuja kukupokea airport, maana kuna watu wana ndoto japo tu wakuone super star wao, sasa ndo uandae na guest wenzio walale maana si unapenda sifa ulipe na gharama , aya nadhani ujumbe wameupata.
 
Huyu jamaa bana kuomba mashaniki wakupokee ni ujinga acha waje wenyewe, mwishowe utuombe tuje kwenye msiba wako siku ukifa ili tu umzidi Kanumba
 
Ina maana diamond ni zaid ya kameleone wa uganda maana nasikia kashinda na kuwa msanii bora afrika mashariki, hongera sana.
 
Huyu jamaa bana kuomba mashaniki wakupokee ni ujinga acha waje wenyewe, mwishowe utuombe tuje kwenye msiba wako siku ukifa ili tu umzidi Kanumba

Katangaza kabisa waende kumpokea saa usiku , yani ana wazimu huyu si bure
 
Katangaza kabisa waende kumpokea saa usiku , yani ana wazimu huyu si bure

Afu mbona huyu tu ndo anatangazwa maana magazeti ya shigongo na redio mawingu wanemuongelea Diamond tu kama Jide hajashinda.
Afu pia inaonesha hizo tuzo hazina hela ndefu ndio maana Jide hakwenda ifata ukute hata nauli alizolipia kuifata ni kubwa kuliko thamani ya tuzo
 
Last edited by a moderator:
hahaha et kuna mashabik wakimuona wanapata furaha had wanajikojolea
 
Aya wewe Dinazarde si shabiki wa ndomo wewe? Ndo uje uku dar mwenzio kawaomba mkapokee airport anakuja kesho saa nne usiku, sasa sijui kama mtalipiwa na nauli za kwenda na kurudi au ndo ntolee na kazi mnayo mwaka huu
Cc : zavi, geniveros, Heaven on Earth, lusungo, amu, TATIANA, ROBERT MICHAEL, Matola, matumbo, qn of sheba, princess sayuni, Lady kims, maatope, Mrembo by Nature, Madame B

Weeeeee ushabiki maandazii hata kama ntiwe hamira siumukii ng'ooooooooo,,,,,,siweziiiiii angekua mume wangu au ndugu yangu ningeendaaa aku niwaachee
 
Last edited by a moderator:
Msanii wa kizazi kipya, Diamond platnums, amewaomba mashabiki wake kumpokea Airport usiku wa saa nne kesho jumatano kwenye viwanja vya julius k nyerere, akitokea nchini marekani alipoenda kwenye ugawaji wa tuzo za afrimma ambapo msanii huyo alishinda kipengele cha msanii bora africa mashariki.

"Baba ubaya na wewe sasa umetuchoka mashabiki wako, sasa sisi tukae macho hadi saa nne za usiku mpaka uje , sasa ukishakuja ndo nini labda? Yani tukupokee usiku halafu wewe na hao vibaraka wako mpande prado mrudi sinza , aya na sisi wakina abdala msogoti tunarudije kwetu usiku wote huo? Au utatukodishia mabasi ya kuturudisha om? Maana umetuita, Unapenda sifa mwenyewe kiama hadi unaita watu wakupokee? mmh ila utawapata maana kuna mashabiki wako wakikuona had wanajikojolea, mimi unitolee upuuzi wako apa.

Ndio tunajua unataka ufurahi na mashabiki wako, kwani unashindwa kuandaa special event pale leaders na mashabiki wakaja kukupongeza apo tena pakubwa tu, unasumbua watu tena bila aibu eti wakupokee saa nne usiku au ndo unataka kuvunja rekodi airport? Mnataka tu kuwasababishia watoto wa watu matatizo wabakwe uko na kuibiwa ndo ufurahi, mwenyew huyo unarud kwako na usafiri wako unawaacha wenzio wakihangaika na usafir au utawalipa? Apo utataka watu wakusindikize kwa miguu toka airport hadi kwako, wewe unapigwa na Ac wenzio wanapiga mguu, na utawapata wapo wengi tu ma jobless watakuja kukupokea".

Na bora umewaambia mapema maana kuna watu watatoka morogoro,kimbiji na mikoa yote watakuja kukupokea airport, maana kuna watu wana ndoto japo tu wakuone super star wao, sasa ndo uandae na guest wenzio walale maana si unapenda sifa ulipe na gharama , aya nadhani ujumbe wameupata.

Usijali Diamond washabiki wako tutakuja! Angalau emetutoa aibu wa Tanzania vyote tushindwe na muziki pia. Hongerah Diamond usiwajali wanaokukatisha tamaa.
 
Nnampongeza kwa kupata tuzo hizo ila hili suala la kumpokea asivimbe kichwaaa na kujiona yeye ndo yeye.
 
Usijali Diamond washabiki wako tutakuja! Angalau emetutoa aibu wa Tanzania vyote tushindwe na muziki pia. Hongerah Diamond usiwajali wanaokukatisha tamaa.

kwa hiyo wewe umemuona bwana ako domo eeh? Jide wala hujamuona, kweli kazi mnayo nyie ndio wachawi kama sio wanafiki mnajifanya mnasapoti watanzania wenzenu mbona jide hamum support au yule mkenya? Ebu tutoleeni ushabiki mavi wenu apa wachawi wakubwa nyie na una bahat sikuoni , Tindikali ingekuhusu
 
kwa hiyo wewe umemuona bwana ako domo eeh? Jide wala hujamuona, kweli kazi mnayo nyie ndio wachawi kama sio wanafiki mnajifanya mnasapoti watanzania wenzenu mbona jide hamum support au yule mkenya? Ebu tutoleeni ushabiki mavi wenu apa wachawi wakubwa nyie na una bahat sikuoni , Tindikali ingekuhusu
He makubwa nimejibu kutokana na hoja husika. Ya bwana wenu yamekujaje tena JD ni mwimbaji mzuri na nampenda sana pia aweke muda wake nitaenda pia. Hebu acha mawazo mgando! Kufikiria ngono tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom