Diamond awatukana vijana wa Tanzania; 'wana njaa'!

Ni perception yako tu Wala hakuna tusi apo....
 
Japokuwa mtajitetea ila wengi wenu mnanjaa mnaobet
Kubet ni mchezo wa kujifurahisha sio wa kutafuta utajiri mkuu. Kubet sio ajira rasmi inayotambulika ktk nchi hii. Ni sawa na kazi ya urefarii. Marefarii wote wanakuwa na kazi zao. The same case applies to betting mkuu.
 
Hakuna hoja mle, ni inferiority complex tupu..!!
Inferiority complex? Mm huwa sijifananishi na mtu yeyote mkuu. Naongea ukweli bila kumumunya maneno wala kumuonea mtu yeyote.
 
Mkuu umenisoma kwa mhemko. Hebu rudia kusoma kwa ufasaha utanielewa ninachomaanisha. Kutumia njaa za watu kuwabagaza ni utovu wa heshima na utu kwa binadamu wenzako.
It's just an advert, NJAANUARY is very common term in Kanairo. Wakikuyu kutamka JA it sounds NJA then like spicing up the common toughness of January you know the festival season spendings plus the January school bills so they popularized NJAANUARY.
NJAA + JANUARY = NJAANUARY.
No insults there whatsoever, just chillax dude.
Kama unalifanyia hilo tangazo 'promo in disguise' then you're doing the right thing kwa sababu publicity comes in different forms.
 
Kwaminajili hiyo yuko sahihi, hata wewe hapo una njaa ya mafanikio.
Kwanini Diamond aitumie njaa waliyo nayo vijana kuwabagaza na kuwadhalilisha? Wewe unaona sawa tu?
 
Mbona Kama wewe ndo umemwelewa vibaya maana sijaona alipotukana
 
Mbona Kama wewe ndo umemwelewa vibaya maana sijaona alipotukana
Mkuu amewatukana vijana indirectly kupitia kwenye tangazo lenye nia ovu. Hebu rudia kusoma utaelewa vizuri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…