Truth sniper
Senior Member
- Jan 22, 2012
- 130
- 202
Kwani njaa ni Nini? Tuanzie hapo mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana ndio wanaobet. Ulishawahi kumuona mzee anabet mkuu?
Mkuu kunifananisha na Lucas Mwashambwa ni tusi kubwa sana. Huyo jamaa hafanani na yeyote. Njaa zinamfanya kila siku kutumikia nafasi yake ya uchawa mitandaoni bila kuchoka.Naona kijana umebubujikwa kama lucas mwashamba 😂😂
Anyway pole sana
Sijaona tusi hapo wala neno kijana, ai wanaobeti wote ni vijanaMkuu acha matusi ya chinichini. Haipendezi na haifai.
Naelewa hilo mkuuBetting sio ajira mkuu.
Tafsiri ya neno njaa inajulikana lakini kutumia njaa za watu kuwabagaza hairuhusiwi.Shida sio diamond na tangazo lake,shida ni sisi wenyewe, hatujui fasiri sahihi ya misamiati ya kiswahili. kabla hujamlaumu diamond nenda kamusi ya kiswahili sanifu ukapekue maana ya neno njaa kisha urudi hapa umpe diamond maua yake na samahani zisizo na idadi. ni hayo tu bhanandugu.
Kwan uzee unaanzia 60+Ulidhawahi kumuona mzee 60+ anabet mkuu?
Umeandika utumbo mtupu, bandiko limedhihirisha inferiority complex yako + low self-esteem.Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii wa muziki na mmiliki wa biashara, ikiwemo WASAFIBET, ameamua kuwatukana vijana wa kitanzania kwa makusudi kwa kuchapisha tangazo lenye nia ovu ya kudhalilisha, kutweza na kubagaza utu wa vijana wa Tanzania. Ni dhahiri shahiri kuwa amewalenga vijana kwa kuwa wengi wao hawana ajira, hivyo wanategemea kubet ili wapate fedha za kujikimu.View attachment 3206254
MAONI YANGU
Diamond amefanya kitendo kinachopaswa kulaaniwa na kila mtanzania mwenye utu, mpenda amani na anayezingatia na kujali maisha ya wengine, bila kujali hali zao za kiuchumi. Haikuwa na haja kuchapisha tangazo hili la kidhalilishaji, kibaguzi, kichochezi na kibagazaji. Kuna namna nyingi za kutangaza lakini sio kwa udhalilishaji wa kiasi hiki. Naomba serikali iingilie kati kwa kumuonya huyu kijana aache dharau kwa vijana wenzake na pia aondoe hilo tangazo, kuwaomba radhi vijana wenzake na kuapa kutorudia kosa kama hili wakati mwingine.
Nawasilisha.