Diamond awatukana vijana wa Tanzania; 'wana njaa'!

Diamond awatukana vijana wa Tanzania; 'wana njaa'!

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii wa muziki na mmiliki wa biashara, ikiwemo WASAFIBET, ameamua kuwatukana vijana wa kitanzania kwa makusudi kwa kuchapisha tangazo lenye nia ovu ya kudhalilisha, kutweza na kubagaza utu wa vijana wa Tanzania. Ni dhahiri shahiri kuwa amewalenga vijana kwa kuwa wengi wao hawana ajira, hivyo wanategemea kubet ili wapate fedha za kujikimu.
View attachment 3206254
MAONI YANGU
Diamond amefanya kitendo kinachopaswa kulaaniwa na kila mtanzania mwenye utu, mpenda amani na anayezingatia na kujali maisha ya wengine, bila kujali hali zao za kiuchumi. Haikuwa na haja kuchapisha tangazo hili la kidhalilishaji, kibaguzi, kichochezi na kibagazaji. Kuna namna nyingi za kutangaza lakini sio kwa udhalilishaji wa kiasi hiki. Naomba serikali iingilie kati kwa kumuonya huyu kijana aache dharau kwa vijana wenzake na pia aondoe hilo tangazo, kuwaomba radhi vijana wenzake na kuapa kutorudia kosa kama hili wakati mwingine.

Nawasilisha.
Ukiwa huna kitu,

1. Hata mtu akicheka tu unaona anakucheka wewe.

2. Hata mtu akikuangalia tu unaona anakuangalia kwa dharau.

3. Hata mtu akipita kasi na IST yake, unaona anakunyanyasa kisa huna gari.

4. Hata mtu akiwa anapiga stori na mwingine, lakini mkakutanisha macho, utaona anakuangalia jicho la madharau.

etc etc...!!

By the way, hakuna asiyejua kuwa Januari almost zote, kwa wengi kunakuwa na njaa kali sana. Sijaona tusi kwenye tangazo lake, isipokuwa ni INFERIORITY COMPLEX tu ya mtoa mada..!! Au chuki tu zisizo na kichwa wala miguu.
 
Umeandika utumbo mtupu, bandiko limedhihirisha inferiority complex yako + low self-esteem.
Tafuta hela LAINISHA NJAANUARY YAKO.
Mkuu umenisoma kwa mhemko. Hebu rudia kusoma kwa ufasaha utanielewa ninachomaanisha. Kutumia njaa za watu kuwabagaza ni utovu wa heshima na utu kwa binadamu wenzako.
 
Ukiwa huna kitu,

1. Hata mtu akicheka tu unaona anakucheka wewe.

2. Hata mtu akikuangalia tu unaona anakuangalia kwa dharau.

3. Hata mtu akipita kasi na IST yake, unaona anakunyanyasa kisa huna gari.

4. Hata mtu akiwa anapiga stori na mwingine, lakini mkakutanisha macho, utaona anakuangalia jicho la madharau.

etc etc...!!

By the way, hakuna asiyejua kuwa Januari almost zote, kwa wengi kunakuwa na njaa kali sana. Sijaona tusi kwenye tangazo lake, isipokuwa ni INFERIORITY COMPLEX tu ya mtoa mada..!! Au chuki tu zisizo na kichwa wala miguu.
Mkuu ukisoma andiko langukwa kukurupuka utalielewa tofauti. Ukisoma kwa ufasaha na utulivu, utaelewa theme ya hoja yangu.
 
Mkuu umenisoma kwa mhemko. Hebu rudia kusoma kwa ufasaha utanielewa ninachomaanisha. Kutumia njaa za watu kuwabagaza ni utovu wa heshima na utu kwa binadamu wenzako.
Siku zote shida zako hupelekea wengine kupata hela..!!! Shida zako ndo nafasi ya wengine kukua kiuchumi. Hebu fikiria;

1. Ukifiwa, muuza majeneza huyu hapa, wachimba makaburi hawa hapa, ma-MC hawa hapa, ma-DJ hawa hapa, wa kupika hawa hapa, wakukodisha maturubai na viti hawa hapa etc..!!

2. Ukiumwa, wa-xray hawa hapa, wa kitanda cha wodini hawa, wa ambulance hawa, wa phamacy hawa, etc etc
 
Nani alikwambia uzee ni pensioner
Issue ya pension inategemea na kazi, taasisi na mkataba
Kuitwa pensioner sio lazima uwe umewahi kufanya kazi mkuu. Umri ukifika tu unakuwa pensioner automatically mkuu.
 
Kuitwa pensioner sio lazima uwe umewahi kufanya kazi mkuu. Umri ukifika tu unakuwa pensioner automatically mkuu.
Huwezi kutenganisha pension na fedha, no money ni pension.

Ujana unaishia 45yrs kuna wazee wana 70yrs na wanabeti kama kawaida
 
Huwezi kutenganisha pension na fedha, no money ni pension.

Ujana unaishia 45yrs kuna wazee wana 70yrs na wanabeti kama kawaida
Nitajie au nioneshe mzee wa 70 anayebet mkuu.
 
Huwezi kutenganisha pension na fedha, no money ni pension.

Ujana unaishia 45yrs kuna wazee wana 70yrs na wanabeti kama kawaida
Wakati Kikwete anagombea urais mwaka 2010 alikuwa na miaka 56 na walikuwa wanamuita mgombea kijana. Labda uniambie ujana una matabaka mkuu.
 
Back
Top Bottom