sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
AGIZA NDIMU MIMBA CHANGA ZINA CHANGAMOTO YAKEChawa wa Domokayaa mbna haha kweli, mtu enyewe kasha jichokeaa mdaa, mxxxxieeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangazo la show niweke JF?Umelipwa kiasi gani kwa hili tangazo....
Kwa mujibu wa contract yake na organizers.Zuchu atalipwa shingapi?
Kimbulu kashindwa kujaza sebule ya masaki...sasa sijui lini atakuja kupata walau nyomi ya diamonds are forever ππDuh sio kina mmakonde wanalazimisha watu kununua mezaπππππ
Maumivu unayopitia kigagula ni makali sana huyo ndio Simba kama anapotea hivi alafu anakuja anasambaratisha uchafu wote πππππChawa wa Domokayaa mbna haha kweli, mtu enyewe kasha jichokeaa mdaa, mxxxxieeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nimerekebisha.Mkuu ni December sio November
Mtu ukiwa chawa huwa akili inatoweka pia? Tarehe 31 November ipo kwenye kalenda gani? Hata kama ingekuwepo lakini tumeshaipita ila wewe chawa mpuuzi unaongelea mambo yajayo. Wewe ni chawa mpumbavu zaidi kwa mwaka 2022. Hongera sana.View attachment 2463387
Usiku wa tarehe 31 November, 2022 history inaenda kuandikwa.
Kijana kutoka mitaa ya Tandale, Diamond Platnumz aka Simba anaenda kuandika rekodi mpya kwenye ardhi ya Tanzania.
Kwa mkataba wa kufanya show ya masaa manne juu ya stage pale Ramada. Diamond atalipwa Tshs Million 300.
Hajawai tokea binadamu yoyote hapa Tanzania akalipwa pesa nyingi namna hiyo kwa usiku mmoja.
Diamond ni living legend msanii wa kihistoria GOAT. Ipo siku ataingizwa kwenye mitaala ya shule zetu wajifunze kuhusu huyu kiumbe wa ajabu.
Username yako na avatar inazungumza kila kitu kuhusu wewe ππππMtu ukiwa chawa huwa akili inatoweka pia? Tarehe 31 November ipo kwenye kalenda gani? Hata kama ingekuwepo lakini tumeshaipita ila wewe chawa mpuuzi unaongelea mambo yajayo. Wewe ni chawa mpumbavu zaidi kwa mwaka 2022. Hongera sana.
Ujinga umeanzia hapa π€£Ipo siku ataingizwa kwenye mitaala ya shule zetu wajifunze kuhusu huyu kiumbe wa ajabu.
Hongera kwa ku-edit ingawa tayari umeshaambulia aibu ya kufungia mwaka.Username yako na avatar inazungumza kila kitu kuhusu wewe ππππ
Ujinga kivipi na huyu ni mwana sanaa kama kina Shaban Robert nk ambao tulioenda shule tumewasoma.Ujinga umeanzia hapa π€£
Asante mkuu kweli nimepata aibu ya kufungia mwaka.Hongera kwa ku-edit ingawa tayari umeshaambulia aibu ya kufungia mwaka.
Mi sikwenda shule ndomanaUjinga kivipi na huyu ni mwana sanaa kama kina Shaban Robert nk ambao tulioenda shule tumewasoma.
Chawa uliza maswali ya kutumia akili. Hapa ukijua username inatosha.Asante mkuu kweli nimepata aibu ya kufungia mwaka.
Sorry mkuu una umri gani wewe?