Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Ujinga kivipi na huyu ni mwana sanaa kama kina Shaban Robert nk ambao tulioenda shule tumewasoma.
Acha kumlinganisha Shaban na vitu vya kijinga,kwa uko shuleni watoto mashairi yao yawe kudai msabwanda wa buku jeroUjinga kivipi na huyu ni mwana sanaa kama kina Shaban Robert nk ambao tulioenda shule tumewasoma.
Tuliambiwa amekataa dili la billion 2 world cup , hii mil 300 mbna kiduchuuuChawa wa Domokayaa mbna haha kweli, mtu enyewe kasha jichokeaa mdaa, mxxxxieeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi ya unga au tunda?AGIZA NDIMU MIMBA CHANGA ZINA CHANGAMOTO YAKE
Wee nae pampulaaa una haha na huyo domokayaa wako wala hana jipyaa mjini. Kwa kifupi hastui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maumivu unayopitia kigagula ni makali sana huyo ndio Simba kama anapotea hivi alafu anakuja anasambaratisha uchafu wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mparagane wenyeweee, sie hata hatuna habariii kabisaaa.Tuliambiwa amekataa dili la billion 2 world cup , hii mil 300 mbna kiduchuuu
Wee nae pampulaaa una haha na huyo domokayaa wako wala hana jipyaa mjini. Kwa kifupi hastui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hastui kwa kifupi. PoleeeeehShow ya kesho, meza za mil 7.5 zimeisha majuzi...meza za mil 5 zimeisha jana.
Diamond Platnumz ndio jina la hii game ya entertainment hakuna mbadala.
Na ndio maana hamumuongelei wala kumfatilia kabisa πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hastui kwa kifupi. Poleeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani natakiwa kulipwa kusema mtanzania mwenzangu amelipwa vizuri? Yani kuna watu mnapata maumivu kijana mwenzio akilipwa mil 300?Huwa unalipwa au ni mapenzi yako tu kwa diamond mkuu??
Umeulizwa kistaarabu unaleta ngonjera za wivu. Nani apate maumivu sasa.Kwani natakiwa kulipwa kusema mtanzania mwenzangu amelipwa vizuri? Yani kuna watu mnapata maumivu kijana mwenzio akilipwa mil 300?
Nimecheka sana aiseeKimbulu kashindwa kujaza sebule ya masaki...sasa sijui lini atakuja kupata walau nyomi ya diamonds are forever ππ
Shaaban Robert ni mshairi tu kama washairi washairi wengine, he is so overrated.Kweli akili za Machawa zipo Matatrakoni!!!Yaaani Shabani Robert kazi alizofanya mpaka tukamsoma unafananisha na huo upuuzi wa Almasi wakuimba inama nifukue mtaro?