Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Ujinga kivipi na huyu ni mwana sanaa kama kina Shaban Robert nk ambao tulioenda shule tumewasoma.
Kweli akili za Machawa zipo Matatrakoni!!!Yaaani Shabani Robert kazi alizofanya mpaka tukamsoma unafananisha na huo upuuzi wa Almasi wakuimba inama nifukue mtaro?