Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Mjanja unatumia chibu?we ndio utumvo kweli...utafananisha davidoff na huo mharufu wa mavi

Pole sana dogo najua unavyojisikia, wivu na roho mbaya vinakutesa but huna unachoweza kufanya watu wanaigombania pafyumu kama pipi na inatafutwa mpaka nje ya nchi.
 
ko nyie mnataka wote tunukie ki chibu chibu kila unaepishan nae ananukia chibu ndo nn sas kwanz me zangu haizidi 15sh maskin mm
 
Namshauri Bashite azifungie perfume za nje ya nchi ili hii ya Chibu ipate soko.
16fe98ba87d5f8d6452eff7ec355082a.jpg
 
Dah ila kweli binadamu tunatofautiana, yaani usawa huu nitoe laki eti ninunue pafyumu? Hata buku gwala sitoi, mi babycare inanitosha. Wanaume wa Dar toeni laki mnukie vizuri
15794d749da75b60257063a6741dd168.jpg


Mpaka wagumu wajanja wananukia chibu.
 
Ukisikiliza watu humu jf huwezi kufanya kitu.
Cha ajabu wanaotakiwa kujifunza kwa waliofanikiwa ndio wanajifanya walimu. Wakati wao wanapiga kelele na kutoa povu wenzao wanafanya kweli na wanafanikiwa.
 
Naiyona kule lipstick za Kiss zilipo
Elimu Elimu Elimu
Mh Lowassa aliona ombwe kubwa sana katikati ya vichwa vya watanzania

Nina mashaka na haya
-Hakuna market survey and research
-Needs and wants assesment
-Marketing test na consumerizatiom
-Standards grade and brand (Hapa kachemka yeye kiumaarufu anaitwa Diamond plutnumz perfume inaitwa chibu hapo ni ugali na mgonjwa haiwezi kufanya vizuri sokoni na ni ndoto )
-Varieties hapa pia kachemka( kila mtumiaji na preference zake sio wote wanahitaji kitu kimoja(uniformity) kwa wakati mmoja wanawake wanapenda harufu flani wanaume pia kila mteja na kada yake, vijana, watu wa umri wa kati, wafanyakazi wa maofisini n.k
Swali wateja wote watanukia harufu sawa??? )
-accessibility ([emoji38] kaziweka GSM Mall pole kaka Nasibu Watu wote wataenda Gsm Mall kuifuata perfume tu kazi kweli kweli)
-Price sio rafiki kwa watu wote(Japokuwa kuna wateja wa perfume za bei ghali kwa sababu wanaafford au for presitige)

I stand to be corrected
This is the best you can do, wenye akili wapo sokoni wanapambana kutengeneza pesa. Nyie toeni povu tu.
 
Wabongo kwa kuponda tunaongoza Duniani. Eti, pafyumu inanukia mavi? Tujifunze kuthamini vya nyumbani wandugu. HONGERA DIAMOND, HONGERA GSM, HONGERA BASHITE.
 
Acha wivu we kijana, andaa na wewe yako basi kama utapata wa kununua. WAGALATIA MNA WIVU SANA mkiona mwislamu katoboa
We Ng'ombe kweli, katika utetezi wote umeona udini ndo point? Watu kama nyie adhabu yenu kudeki banda la nguruwe shubaamit.
 
Back
Top Bottom