Izo ishu za kubeba madawa hawazisemi tena siku izi baada ya kuona hazina mashiko tena. Kila kitu kipo wazi sasa roho mbaya zinawasumbua.
Uwe mnyaki au mfaranyaki, I don't care... inatosha tu kufahamu kwamba wewe ni mnyaki dada, basi... what else? Usijichekeshe, nitafute wewe... usije ukajikuta unapiga teke fuko la vumba, shauri zako!
Umeona enh... eti anamtishia mtu mzima nyau, eti oh mi mnyaki wewe!!!Hhhhhhaaaa eti mfaranyaki lo
Umeona enh... eti anamtishia mtu mzima nyau, eti oh mi mnyaki wewe!!!
ujinga tu sasa kwa hiyo fiesta kiba ameengiza kiasi gani cha pesa na diamond ameingiza nini? Diamond bado jupo juu na ataendelea kuwa juuPole weweeee!!!!! Buuuuuuuuu buuuuuuuuuu afu walisemaje tena????? Au ukusikia chacha na wewe nichimulie mbona Mimi chimulia wewe??? Ahaaaa wewe ukwenda ungeenda ungeona wewe akati aboss ako wewe anatamani lia Mimi mpaka Leo nimeshika zile sauti za buuuuuuu!! Buuuuuuuuuu!! Mimi ningezimia ningekua boss wako
Kukuzidi wewe... tumaneno twako tufupi tufupi lakini mnh!Una maneno looo hhhhaaaa
Tungeionaje hiyo picha kama siyo kujitangaza kwenyewe????
By the way hivi alishahamiaga.......
Tatizo baadhi ya waTZ tuna maroho ya kimaskini sana yani sana hatupendi kumuona mtu yuko
on peak eti wamemzomea kisa Diamond ana mishauzi sasa kama ana mashauzi ni kwa pesa zake alizostruggle
nazo wakati wenyewe usiku wamepumzisha pumbu zao kitandani mwenzio alikua anakata viuno on the stage ili
pesa hata ya kubadilisha mboga sasa Leo hii yuko juu mnataka kumuangusha na zomea zomea zenu... Wa mbili
havai moja huu ni wakati wa Diamond,
Kukuzidi wewe... tumaneno twako tufupi tufupi lakini mnh!
hahahahaaa, labda tule tukahawa tunakowekwa kwenye tuvikombe kama ndonya ya mmakonde! Na tule tukashata ndo tumaneno twako twenyewe!Tufupi unaweza nywea chai etii hhhhhaaaaa
hahahahaaa, labda tule tukahawa tunakowekwa kwenye tuvikombe kama ndonya ya mmakonde! Na tule tukashata ndo tumaneno twako twenyewe!
hahahahaaa, labda tule tukahawa tunakowekwa kwenye tuvikombe kama ndonya ya mmakonde! Na tule tukashata ndo tumaneno twako twenyewe!
Justin beiber mwenyewe sahv anachukiwa na mashabiki wa Mzik usa kwasababu ya tabia zake chafu,who is diamond.?
Hahahaaaa... aisee we jamaa kwa kupinda maneno u hodari! Nimesema mnachukia kwa ajili ya mafanikio yake au nimesema mna wivu na chuki zisizo na msingi? By the way, huyo Samatta kwani ametengenezewa rival wake? What about Hasheem Thabit... ametengenezewa rival? Chuki za watu huwa zinaanza pale watu wanapotengeneza rivals! Kama umesahau kuhusu Jide, labda nikukumbushe kwamba hata yeye alikumbana na hiyo hadha watu walivyoanza kukuza bifu kati yake na mwana-FA! By the way, hayo maswali unayosema umeniuliza, saa ngapi umeniuliza? Au ume-panic jombaa? Hivi kaswali kadogo kama hako kangekosa jibu? In contrast, nikurejeshee rundo la maswali ambayo nimekuuliza na hujajibu hata moja zaidi tu ya kukanusha kama lile la Kiba kusema yeye ndie kam-release Diamond? Tafuta clip ya Sporah Show kisa sikiliza kuanzia dakika ya 25:30.NasDaz mi mpaka sahv sielewi umepagawa nini..
mimi ninafurahia alikiba kumfunika diamond kwenye show..
Je ni kosa.?
Wewe unabishana eti waTZ wanachuki na diamond kisa ana mafanikio,nkakuuliza kwanini wasimchukie MBWANA SAMATA,JAY DEE,HASHIM THABEET.???
HUTOI MAJIBU YA KUELEWEKA ZAIDI YA KULALAMA BILA MSINGI WOWOTE.!!!!!
Tatzo nini.???
Hatakaa akujibu, na akikupa jibu la maana, najipiga ban mwenyewe!we unamchukia kwasababu gani????
Mnh! Makubwa haya sasa... hutaki kucheka, kisa? Unaomboleza na Swahibu Diamond au na heaven on desert? Watu bhana, mtu kaja na kanyimbo kake kamoja eti ndo tayari ameshamshusha mtu mwenye minyimbo kibao ambayo bado ina-hit!Hhhhhhaaaaaq loooo bas yaishe leo stak kucheka kabisaaqaq
Watanzania siku zote wana wivu wa ajabu mtu ukipata mafanikio kwa muda mfupi majungu yataanza,walianza kumuita Freemason wameona imeshindikana sasa hivi wanatafuta kila njia.
Kitu ambacho nawambia mafanikio hayaji kwa urahis Diamond kapiga sana kuwa hapo alipo.
Wabongo mshaanza na kumsema Masanja mara kumuita Tapeli na Freemason mshindwe nendeni mbarali muone kijana anavyolima mpunga.
Wivu si kitu kizuri,wivu mzuri ni wa kutaka uwe kama yeye si kupiga majungu ashuke
Watanzania siku zote wana wivu wa ajabu mtu ukipata mafanikio kwa muda mfupi majungu yataanza,walianza kumuita Freemason wameona imeshindikana sasa hivi wanatafuta kila njia.
Kitu ambacho nawambia mafanikio hayaji kwa urahis Diamond kapiga sana kuwa hapo alipo.
Wabongo mshaanza na kumsema Masanja mara kumuita Tapeli na Freemason mshindwe nendeni mbarali muone kijana anavyolima mpunga.
Wivu si kitu kizuri,wivu mzuri ni wa kutaka uwe kama yeye si kupiga majungu ashuke