zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,068
Izo ishu za kubeba madawa hawazisemi tena siku izi baada ya kuona hazina mashiko tena. Kila kitu kipo wazi sasa roho mbaya zinawasumbua.
Okay mkuu! Nakukumbusha tu ishu za madawa huwa hazisemwi hovyo hovyo. Nikuhabarishe tu hata kama hutaki, wasanii wote wanaoenda nje na kurudi muda wa siku kadhaa ni biashara ya madawa. Cha muhimu uki make piga kimya