Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Ndio ujue marafiki wa kweli na wa uongo ukipata misuko suko,huyu maatope ni shabiki namba moja wa domo lakini leo kamuhama hhhhhaaaaaaaaaaa

Naona leo sir Maatope anamruka kimanga homeboy wake waliokula wote utumbo wa kuku na supu ya mapupu.
 
Last edited by a moderator:
Poor mind set inamalza watz weng sana , mimi hv vitu huwa vinanisikitisha sana kuona jinc watz weng walivojaa negative attitude, ss cjui ni hzo dv5 au ndo vp?????? Am speechless

huu ujinga nilidhani ni kwenye siasa tu, vijana wetu wasomi wa vyuo vikuu ndio wanaongoza huu uswahiliswahili..
 
Yaani umejipinda kuandika gazeti zima wakati dangote akikuona atasema hana hadhi ya kuongea na wewe
 
Kiba aliposema alimsaidia Diamond kurekodi pale kwa Bob junior haikua shida, ila Diamond kusema atamsaidia Kiba wafanye kolabo imekua nongwa! WABONGO WASAHAULIFU SANA!
 

umesema yote salute
 
ukishakusanya hizo sababu umfikishie"tajiri Dangote" muambie aachane na mahaters hao, wana wivu na wala hawawezi kumshusha kamwe
Ahsante mkuu maatope... nalazimika kutumia zile akili za kiutu uzima! Hilo la kwamba hawawezi kumshusha wala halina shaka lakini kama wanaweza, busara ipo wapi basi??!! Yaani mnataka mtu ashuke kwa kulazimisha na sio kwa kushindwa.... aaaargh! Alipopanda wala si kwamba kuna mtu alishushwa na mashabiki na hivyo, hata atakaposhuka atafanya hivyo kwavile tu hakuna msanii anayebaki No. One milele... Hata Michael Jackson wa 1980's si yule wa 1990's and 2000's... itakuja kuwa Diamond!
 
Last edited by a moderator:
Kiba aliposema alimsaidia Diamond kurekodi pale kwa Bob junior haikua shida, ila Diamond kusema atamsaidia Kiba wafanye kolabo imekua nongwa! WABONGO WASAHAULIFU SANA!
YOte wanayakumbuka sema tu nongwa zimewazidi! Ajabu zaidi, wengi wao ni vijana tu lakini wana chuki, wivu na vijiba utafikiri vibebe vizeee!
 

Maajabu mengine haya huku.... Unapamba mtu ata hajui kama ilizaliwa au ulishushwa achukiwe,aonewe wivu,apondwe wewe kinacho kukeleketa kwa moyo ni nini... Si huishi kivyavyo... Au unataka moyo wangu ufate wa kwako... Alizomewa ndiooo... Tena saaana... Ja kuja kujibu kwa jazba kama vile umepaliwa na soda ya tangawizi... Uyo unaempenda anajua km unaexist... Kama wewe umependa ni wewe bana
 
Naona leo sir Maatope anamruka kimanga homeboy wake waliokula wote utumbo wa kuku na supu ya mapupu.
sijamruka mwana, kaniuzia sana vocha na keep change alikuwa anzipata sana toka kwangu ila naungana na wadanganyika wenye hasira wanaotaka kumrudisha dogo kwenye reality maana mabega yamezidi kichwa sasa...akishaacha dharau mbona sana tu, nyimbo zake mbona kali
 
Mapya haya... wapi nimempamba mtu?? Jibu swali, kumegwa wamegwe akina Wolper, wewe kinakusumbua nini? Eti najibu kwa jazba... jaba itoke wapi... hivi hujajishtukia kwamba ni wewe ndie uliye-panic??
 
Mapya haya... wapi nimempamba mtu?? Jibu swali, kumegwa wamegwe akina Wolper, wewe kinakusumbua nini? Eti najibu kwa jazba... jaba itoke wapi... hivi hujajishtukia kwamba ni wewe ndie uliye-panic??

Nijibu swali wewe ni mwalimu???
 
Kwanin yote haya yanakuja baada ya diamond kufunukwa show ya fiesta..

m nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekan kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..

CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAENDLEO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye maendleo hapa TZ.!!

Kwanini hawakuwahi kumzomea MR.NICe.!?

Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halaki,.??

Kama hamjajua watu wamechoshwa na vituko vya diamond nje ya mziki,refer to JUSTIN BEIBER..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…