Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Duh!!! Yani Mimi nimwonee wivu naseeb... Kwa umalaya,dharau,kujicfu,mpenda skendo au kwa lipi?? Me nadhani wanaomshabikia wamesharogwa vbaya sana... MTU ambaye anajiskia sip siri ananipa hasira... Eti mbeya hakuna hotel ya kulala?? Na kwao kigoma zipo?? Zaid ya lake Tanganyika?? Amesahau alivyokua anauza vocha?? Ata hizo hotelhakuwahi waza kuwa atakuja lala?? Kamweee ucsahau ulipotoka jamani... Leo yeye ndo wakumsaidi as Alikibar eti kwa kuomba korabo?!... Kama Alikibar amendharau hivo sijui wewe unajifanya shabiki anakuchukuliaje,! I think anakuchukulia kama vile ndala za kuendea chooni!! To hell na huyo Diamond wenu....!!! Guys I think we have to THINK BIG.. kama vipi mind your own issues,mana kama kazomewa tayari tushapata jibu.. Poleni kwa nyie mafuasi wake... Ila msije mkaiga mambo nimemaliza... Ucnijibu cjaulza swali hapo...ukijbu basi kimekutachi sana!! Usije na kihele hele chako kama ndugu wa mume....
 
Kipindi ray c anakuja kwa kasi walianza kumponda sana komando...mara mbaya mara hajui kukata mara vile...matokeo yake wamebaki na aibu komando bado yupo palepale

alafu kweli umenikumbusha, walishajaribu kumpambanisha Ray C na jide? wakasemaga jide ana sura ngumu sijui makeup zinadunda, mara jide anakiuno kugumu, hakizunguki kama cha RC, na kipindi hicho magazeti yalimuandika sana yakifukunyua umri wake, lakini uliza hapa kwanini kipindi kile jide aliandikwa sana, usikie majibu yake, all most all yatakuwa ni ya kufeva upande wake tu hutaskia atakaesema alikua anatafuta kick?? kwa daimond akichapishwa anatafuta kick.
 
Duh!!! Yani Mimi nimwonee wivu naseeb... Kwa umalaya,dharau,kujicfu,mpenda skendo au kwa lipi?? Me nadhani wanaomshabikia wamesharogwa vbaya sana... MTU ambaye anajiskia sip siri ananipa hasira... Eti mbeya hakuna hotel ya kulala?? Na kwao kigoma zipo?? Zaid ya lake Tanganyika?? Amesahau alivyokua anauza vocha?? Ata hizo hotelhakuwahi waza kuwa atakuja lala?? Kamweee ucsahau ulipotoka jamani... Leo yeye ndo wakumsaidi as Alikibar eti kwa kuomba korabo?!... Kama Alikibar amendharau hivo sijui wewe unajifanya shabiki anakuchukuliaje,! I think anakuchukulia kama vile ndala za kuendea chooni!! To hell na huyo Diamond wenu....!!! Guys I think we have to THINK BIG.. kama vipi mind your own issues,mana kama kazomewa tayari tushapata jibu.. Poleni kwa nyie mafuasi wake... Ila msije mkaiga mambo nimemaliza... Ucnijibu cjaulza swali hapo...ukijbu basi kimekutachi sana!! Usije na kihele hele chako kama ndugu wa mume....

tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni hivo yani ndugu yangu..... Nilivomzalendo wa mkoani kwetu Mimi afu MTU kama Naseeb akapatukanee!.... Aendeleeeee tu kumwiga Michael Jackson...

aisee nna asilimia nyingi naseeb anasoma comments za jf atabadilika tu
 
mimi nadhani Diamond kwa sasa ndio msaani anaye vizuri zaidi hapa bongo. Ushauri bora kabisa kwake kwa sasa ni kuanza kuwekeza awe na miradi ambayo itaweza kumuingizia pesa hata kama atakuwa ameshuka kimziki kuna wasanii wengi wa ndani na nje ya nchi walikuwa wanafanya vizuri kipindi cha nyuma ila sasa ni kawaida sana wale waliokumbuka kuwekeza sasa hivi wanakula kuku kwa mrija wale waliojisahau sasa hivi ni walinzi
 
mimi nadhani Diamond kwa sasa ndio msaani anaye vizuri zaidi hapa bongo. Ushauri bora kabisa kwake kwa sasa ni kuanza kuwekeza awe na miradi ambayo itaweza kumuingizia pesa hata kama atakuwa ameshuka kimziki kuna wasanii wengi wa ndani na nje ya nchi walikuwa wanafanya vizuri kipindi cha nyuma ila sasa ni kawaida sana wale waliokumbuka kuwekeza sasa hivi wanakula kuku kwa mrija wale waliojisahau sasa hivi ni walinzi

Ana wekeza kwenye vitobo.....
 
matumbo katika wadau wa jf ambao wako juu kwa amsha amsha, wewe ni nambari wani yaani ayena ayena. Sasa nikuulize swali moja tu, hivi kuna msanii hapa Tanzania ambaye amewahi au anaenda nchi za nje mara kwa mara kufanya show bila unga wa ... kupakiwa katika safari zake za huko nje ya Tanzania.

Izo ishu za kubeba madawa hawazisemi tena siku izi baada ya kuona hazina mashiko tena. Kila kitu kipo wazi sasa roho mbaya zinawasumbua.
 
Last edited by a moderator:
Duh!!! Yani Mimi nimwonee wivu naseeb... Kwa umalaya,dharau,kujicfu,mpenda skendo au kwa lipi?? Me nadhani wanaomshabikia wamesharogwa vbaya sana... MTU ambaye anajiskia sip siri ananipa hasira... Eti mbeya hakuna hotel ya kulala?? Na kwao kigoma zipo?? Zaid ya lake Tanganyika?? Amesahau alivyokua anauza vocha?? Ata hizo hotelhakuwahi waza kuwa atakuja lala?? Kamweee ucsahau ulipotoka jamani... Leo yeye ndo wakumsaidi as Alikibar eti kwa kuomba korabo?!... Kama Alikibar amendharau hivo sijui wewe unajifanya shabiki anakuchukuliaje,! I think anakuchukulia kama vile ndala za kuendea chooni!! To hell na huyo Diamond wenu....!!! Guys I think we have to THINK BIG.. kama vipi mind your own issues,mana kama kazomewa tayari tushapata jibu.. Poleni kwa nyie mafuasi wake... Ila msije mkaiga mambo nimemaliza... Ucnijibu cjaulza swali hapo...ukijbu basi kimekutachi sana!! Usije na kihele hele chako kama ndugu wa mume....

Sijawai kuona akili za ajabu namna hii....yani kuwa na roho ya kwa nini ndio kuthink big ?? ukiwa na roho mbaya hautakuja kufanikiwa kamwe utaishia kuroga wenzio tu.
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Diamond haswa kipindi hiki akionyesha mafanikio makubwa kimuziki.

Wakati yeye akipambana kupiga hatua kuna wanaopambana kuakikisha hasogei na anarudi chini.

Mimi nimejitolea kumpa ushauri wa bureeee kabisa akiwa kama mdogo wangu.

Ukiangalia kelele zote na matukio ya hivi karibuni utagundua hakuna ishu ya maana sana ya kumchukia diamond ila ni roho mbaya zetu waswahili...Diamond kafanikiwa sana kuna watu linawauma ili jambo yani inawauma inawauma ata wangepata nafasi ya kumuwekea sumu wangemlisha ..Jamani hakuna mtu mbaya dunia hii kama mswahili ndio maana mimi uwa sipendi kuwa karibu na mtu mswahilimswahili,nchi haiendelei sababu ya roho mbaya za kiswahili.

Mswahili anaweza kukuchukia ata hakikosa sababu ya kukuchukia na yote hii sababu ya roho mbaya unakuta mtu ana roho mbaya mpaka akicheka kuna taswira inatokea kama analia vile.

Tukifanya leo tafiti lazima tutakuta asilimia 98 ya waswahili either ni wachawi au wana tabia zote za kichawi.mbongo yupo tayari kuchoma nauli hapa mpaka nachingwea ili akakuroge kisa umenunua gari mpya, ukimpa challenge anunue la kwake atakwambia ye hapendi makuu ila atakuchukia wewe ulieamua kupenda vya kwako

Mbongo atakuchukia ata kwa kumzidi kuvaa vizuri, awezi kujipanga nae atoke smart kukuzidi ila atataka muwe wote wachafu... We ukitaka kumpima mswahili imani mkute anakula alafu akukaribishe msosi na wewe ukaribie utaona uso unavyombadilika na roho yake mbaya.

Mtu anaibuka uko alipoibuka anakwambia dogo ana dharau siku hizi, lakini ukitafakari vizuri hapa tafsiri ya neno dharau ni mafanikio....yaani tatizo dogo ana mafanikio siku hizi.

Wabongo tuna roho za kwa nini ndio maana hatuendelei kamwe, sijui tulitoa wapi hizi roho ama ni ule ujamaa ulituaribu au vipi ! ila kama ni ujamaa wenzetu China mbona wanatumia ujamaa kumfanyia roho mbaya mtu anayerudisha nyuma maendeleo ndio maana ukilisha watu drugs wanakunyonga.....sisi wabongo ujamaa wetu tunatumia kuwafanyia roho mbaya wanaopiga hatua mbele. Yani kwetu mtu akipiga hatua anafanya makosa.

So dogo diamond mimi nakushauri utulie ufanye mambo yako kimpango wako wavumilie tu awa waswahili, ila ishi nao kiakili sana. Jiamini fanya kazi nzuri zaidi watachoka tu na watakubali matokeo.

Watu wanatengeneza maneno kisha wanayapenyeza kwenye media ili kukuharibia, leo mtu anakuja na maneno eti umedharau hotel za mbeya ukimuuliza hizi kauli ulizitoa wapi hana cha kusema, kama umelala hotel za Kigoma utadharau vipi hotel za Mbeya? majuzi hapa umepiga show Tunduma inamaana huko sio Mbeya?

Unakuta mpaka radio zinaingia kwenye ujinga huu unamuuliza mtu swali akitoa majibu, mnayarusha majibu bila swali kisha mnasema haya maneno Diamond kayasema kwa Kiba. Yote ni kufitinisha tu.

Imefikia kipindi watu wanachukia mpaka wanazomea, lakini sio ishu mtu ashushwi kwa kuzomewa ingekuwa ni hivyo Chege na Temba wangeshapotea zamani maana walishapigwa mpaka makopo stejini enzi za Wanaume family na Halisi..Leo halisi wako wapi? Ata AY anayeheshimika sana kwa sasa ameshazomewa na kupigwa makopo enzi za East coast vs Temeke.

Pia chukua tahadhari na Kiba, Kiba wa sasa anamtumia diamond kupata kurudi kimuziki kiukweli bila Diamond hakuna Kiba kwa sasa but kuna Diamond bila Kiba...Kiba kwa sasa hawezi kusimama kwa kazi zake ila kwa jina la Diamond tu.

Tangu Kiba arudi kazi yake ni kuzunguka kwenye media kueleza ubaya wa Diamond, media zote kuanzia radio mpaka Tv amezimaliza akionyesha wewe ni mbaya.

Mimi nakushauri achana na kiba wewe concentrate na muziki wako kwanza mfanye kama haexist vile.

Hakuna ataekuwa juu milele ila hatushushani kwa style ya kampeni, nature ndio uwa inaamua. Muda wa mtu ukiisha haitaitajika nguvu yoyote hatutaanza kumuona kwenye headlines, hatutaskia nyimbo nzuri n.k nature itaamua.

Siku zote ridhki anayegawa ni Mungu tu hakuna binadamu anayeweza kunyang'anya ridhki ya mtu. Mungu ndio anajua nani ampe nini ndio maana yule anapewa sauti nzuri wewe ukapewa nyota. nyota ikiwaka sio rahisi kuizima ndio maana yote yaliyotokea watu wanazungumzia Diamond tu sio nani kafunika wala nini habari bado ni wewe .

Zidane alikuwa bonge la mchezaji lakini matangazo mengi na project za hela alizibeba Beckam ndio ridhki iyo kila mtu na yake.

Nakushauri fanya kazi kwa juhudi zote wataelewa tu, tena kwa sasa ndio uzidishe mara mia hasikuvunje mtu moyo bongo fleva bado inakuhitaji mno. na mashabiki wako wamezidi kukupenda amini usiamini.

Kuna wataokupenda ukifa kama Kanumba na Amina chifupa

Nimeipenda sana hii, hongera sana Matumbo. Mungu akuzidishie maneno na fikra pevu za kutia watu moyo. Diamond ni mbonge la msanii, watasema sana lkn watachoka. Nina wasanii watatu hapa Tanzania, mmoja ni marehemu sasa Kanumba, Diamond na Q Chilla. Watz tuna roho mbaya sana. Baadhi ya wabongo hawapendi watu walio chini waone wanakwea ngazi kama Diamond, wanapenda kuona wale waliochini wakibaki kuwapigia magoti na kuwasujudia. Hawa ndio wabongo mwanangu!!!
 
Very true. Diamond anapashwa aajiri afisa habari wake ambaye ata deal na media. Yeye ajikite kwenye kazi ya muziki tu. Washabiki wake walimpenda sana kwa sababu wengi wao ni watu masikini sana. Hivo kwao ilikuwa ni ushindi kuona mwenzao katoboa kifani na kimaisha pia. Sasa kosa lake kubwa ni kuwadharau watu ambao ki ukweli ndo mashabiki waliompandisha huko juu.
Kuna Fiesta ya 2014 nadhani Mwanza wakati anampandisha Linnah jukwaani. Alisema ni msaani anayependa kuupeleka muziki wetu nje ya mipaka ya nchi. Na ndo maana akawa tayari kummsaidia katika wimbo wake wa Kizai zai. Maneno hayo ameyarudia kwenye interview yake na XXL kuhusu kufanya collable na Ali Kiba. Kwamba yupo tayari kumsaidia. Nadhani dogo amelewa mafanikio mapema kabla hajafika peak.
Ajifunze kwa watu kama makocha wa timu kubwa zenye mafanikio makubwa. Wakiwa kwenye interview kamwe hawawezi kuidharau timu pinzani hata kama ukweli kuwa wao wapo juu. Kocha atasema tu, namheshimu huyu kocha mwenzangu najua ana timu nzuri sana na watatupa upinzani mkali nk. Hata kama moyoni anaamini wataenda kuifunga hiyo timu. Thats the spirit.
MWISHO: Waswahili wana misemo yao ambayo tumeirithi toka kwa babu zetu mfano aliye juu mgoje chini, mpanda ngazi hushuka.Maana yake ni kuwa waswahili hatupendi kuona mtu aliyee juu anadharau maskini ambaye hana kitu. Hivyo ikibidi watakushusha kwa njia yeyote iwayo ili watumie misemo yai hii. Watch out Diamond...

Ndugu yangu atafanya yote hayo ila mchawi uwa harudi nyuma..akiamua kukuwangia hakosi sababu.
 
hujajibu swali, masanja anayo hela zaidi yao mbona hachukiwi????????/ na kipindi diamond alikuwa anashangaliwa alikuwa na maisha mabovu?
Tujuze wewe kwanza... wewe binafsi au familia yako, Diamomd amewafanyia nini? Kwamba eti Masanja mbona hachukiwi sio hoja ya msingi.
 
Diamond tunakupenda sana na kazi zako tunazinunua sana. Kuzomewa kitu gani, kazomewa raisi wa nchi sembuse Diamond. Kwanza sio kama ni ya kweli kwani hii ilipangwa tu na wakora!
 
matumbo umemaliza kila kitu... kinachowasumbua watu humu ni wivu wa kijinga! Mara kwa mara humu watu nawauliza wao binafsi au familia zao wamefanywa nini na Diamond wote hawana majibu kuonesha wazi kwamba kinachowasumbua ni wivu!!! Mara oh, Diamond ana dharau wakati anaekuambia hivyo hajawahi hata mara moja kukaa jpo jirani tu na Diamond... mtu unabaki kujiuliza hizo dharau kaziona wapi... kumbe kasikia... ukichanganya na roho kutu na ya korosho basi inakuwa ndo mada yake!

But all in all, ni mwendawazimu tu atakayekataa kwamba Diamond kwa sasa yupo top... kwamba eti ameshuka kwavile tu kuna haters walioamua kuzomea ni kichekesho! Ajabu haters walianza kuzomea hata kabla Diamond mwenyewe hajatokea... mtu unajiuliza sasa hawa wanazomea nini!!! Yaani ilikuwa ni sawa na kusema hata uki-perform kwa high standard namna gani lazima tukuzomee... which means, si kwamba watu walizomea kv Diamond hakuwa na kiwango bali ilikuwa ni lazima wazomee no matter what!
 
Last edited by a moderator:
ukitaka kuwa star lazima ukubali changamoto cha uanastar .......huwezi kuwa star hata siku moja bila kukumbana na changamoto za wanaokutizama!
 
Uswahili hauwezi ishaaaa,watu wanaongeaa weeeee utadhani wanalipwa mshahara,Tanzania bila Uswahili haiendiii wengine wanajiita wasomi lakini waswahili, wanafiki,wachawiii,lakini mwisho wa siku wataongeaaa weee na watalalaaa
Wivu unatusumbua wabongo sanaaa yaan hata kwa kitu kidogo mtu anaumiaaa ndio ilivyo kwa Diamond, Ally kiba kapata kiki baada ya bifu na diamond na hiyo kuzomewaaa mbona kina Fetty waliandaa mazingira muda ule wanamsifia kiba na kusema team kiba mpooooo huo ni uchonganishiiii ,kiba alikuwepo toka zamanii kuzubaa kwake ndio kumemfanya hivyooo,Akichangamka atafika alipofika Diamond kama kuitwa kushindania tuzo, Diamond hawez kukata tamaaa,mi ningemshaurii asihudhurie hayo mafiesta yao kabisaaa afanye kama Lady jide alivyofanya basiii
(Nimeandika navyojisikia staki kubishana na mtu,toa maoni yako bila kubishana na kila mtu aandike anachojisikiaaa sio)

Mmh sina comment apa, ila yote maisha tu,kuna watu behind this drama, kwan mama ubaya akuwepo jaman mpka azomewe hivyo? Au roho ziliwauma kitu cha x6
 
Back
Top Bottom