Diamond is overrated - Jose Chameleone

Diamond is overrated - Jose Chameleone

Acha uongo Chameleon amekana hakuongea huo ujinga acha kuwaza namna ya kumchafua mwenzio pambana na maisha yako utoke.
 
Diamond ni mkali...aache masifa ya kijinga...inawezekana kifafa kimeathiri ubongo wake...maake aliwahi shikwa na kifafa na kudondoka toka gorofan pale Impala Hotel...Arusha.
Hujui nn kilitokea kumbe
 
Kamkubali kimya kimya ndio maana kamjadili kwenye TV, mbona hajamtaja Manfongo?
 
Facebook imeharibu fani ya uandishi wa habari. Siku hizi kila media ina page yake kule, wanachofanya sasa ni just fishing for viewers, likes na comments nyingi. They can twist and manipulate any story in order to make it interesting. Usishangae ukasikia Chamelione anakataa hakusema maneno hayo. Waandishi wa siku hizi wamekuwa machakubimbi na wachonganishi wakubwa.
 
Pumba tupu za kumsagia mtu ambaye hakuhusu chochote na wala hujamsaidia chochote kile kufikia hapo alipo kimaisha ukilinganisha na kule alikotoka. Haya yuko way overrated lakini maisha yanamnyookea ndani na nje ya nchi, ana mke bomba sana, wanapendana sana pamoja na fitina za wafitini.

 
Sijui singo yoyote ya huyo inayoweza kusimama na muziki wa Diamond
 
Ntatoa comment yangu nikipata uhakika wa hili, bado sijaamini kama chamelione kasema haya
 
Mbona Jose Chameleone kakanusha hio Taarifa kwenye page yake ya instagram...kasema ni watu tu wanataka kutengeneza bifu kati yake na diamond
 
Of course kuna tofauti ya musicians and msanii hope Dimond ni msanii but chameleon ni musician
 
Back
Top Bottom