Diamond is overrated - Jose Chameleone

Diamond is overrated - Jose Chameleone

ujinga ni kujadili mada bila kuwa na ushahidi nayo.
 
Diamond bila juhudi yake binafsi , hawezi hata kukaa category moja na watu kama Barnabas hapa Tanzania lakini juhudi yake imemfanya kuwa msanii wa Afrika huku watu kama chameleon ambao wana vipaji vikubwa wakibakia kuwa top ya kanda Fulani......

Diamond ni maana halisi ya juhudi na ubunifu binafsi .....

Nimeonesha hali halisi bila ya kuamini kuwa chameleon amesema jambo hilo
 
Na hii ndio njia rahis ya kutafuta fame kwa East Africa.Huyu mtoto wa tandale wengi wanamtumia ku-polish majina yao
Duh c kwa chamilion kk
Diamond ndio atakuwa na tatizo hilo
 
kaishiwa huyo kabaki kufanya collabo mbovu tu na akina bob Junior mara Barnaba. collarbo zenyew mbov
 
Nailed it Doctor ,Diamond is way overrated

Hahahaaaaa huyo si alikanusha lakini...nini tena habari alishaizima, wewe unadakia ya nini si useme yako hahahaaaaa

Mwisho wa siku anavuta mpunga na kuacha wa nchini mbali...waambie wajiinue...
 
Chameleone anamshinda Diamond kwa pesa tu (Kwa kuwa Jamaa kaanza game kitambo)

Ila kipi kingine anamshinda Diamond. Mhh fan base, no. Kipi kingine?

Kwa kiasi gani anamshinda?
Kumbe pia muanza gemu zamani anakuwanazo...mbona wa nchini mwetu hawako nazo ndefuuuuuuu?
 
kina nani ndo wanam-overrate? kama anasema ni mashabiki ndo wanam-overrate,atakuwa anakosea maana mashabiki kushow love kwa msanii ndo lengo haswaa la msanii yeyote,so fans wakikupa support kubwa halaf mtu aseme wanaku-overrate huyo ni hater tu.kwani ni nani anahusika kurate wasanii? jibu ni fans.so mtu akikubalika na mashabiki huyo ndo yupo top na sio overrated.sijui kwenye misamiat ya kiingereza kuna neno right-rated au correct-rated?
 
Diamond is overrated.

Chameleon is even more overrated than Diamond.

Naweza kuandika review inayoanzia uwezo wa kila mmoja kutumia sauti mpaka production wanazotumia kuthibitisha hilo.

Na hakuna anayeweza kumgusa Ali Kiba kimuziki kati yao, labda mashauzi tu ya kuwa kwenye magazeti kila siku.

 
Diamond is overrated.

Chameleon is even more overrated than Diamond.

Naweza kuandika review inayoanzia uwezo wa kila mmoja kutumia sauti mpaka production wanazotumia kuthibitisha hilo.

Na hakuna anayeweza kumgusa Ali Kiba kimuziki kati yao, labda mashauzi tu ya kuwa kwenye magazeti kila siku.


Kiba sauti anayo ila hakazi!ndio hapo anapoboa
 
Diamond is overrated.

Chameleon is even more overrated than Diamond.

Naweza kuandika review inayoanzia uwezo wa kila mmoja kutumia sauti mpaka production wanazotumia kuthibitisha hilo.

Na hakuna anayeweza kumgusa Ali Kiba kimuziki kati yao, labda mashauzi tu ya kuwa kwenye magazeti kila siku.


Nakumbuka Ben pol naye ameshawahi kusema "Ali Kiba is overrated"...
Teh...
Kuhusu diamond...
Swali: yuko overrated na nani mashabiki,vyombo vya habari,serikali au wasanii wenzake..!?
 
Kujaza stadiums hata Diamond anaweza kujaza Kenya na Uganda...
Chamilion namuona mkali kuliko Diamond lakini si kwa kigezo cha kujaza stadiums....
Hata Mr Nice alijaza stadiums East Africa.....je alikuwa mkali kuliko wote?
You nailed it mkuu!!!
 
Nailed it Doctor ,Diamond is way overrated
diamond haingizi maguu kwa chameleone
yes that's true
Huyo anaejiita dimond watu huku sauzi wanamuona kama kimba la Jana
Jose anajua mpaka anakera nyimbo zake zote wanaimba Africa masharik na kati wakubwa kwa watoto + hana majivuno kama ya waswahili ni msanii Bora Africa mashariki kwa miaka 15
Yes, I agree with him
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu (In Magu's voice) Kinyonga ni hatari zaidi ya Almasi..
CHUKI na WIVU ni hatari kwa afya ya UBONGO..!
 
Nakumbuka Ben pol naye ameshawahi kusema "Ali Kiba is overrated"...
Teh...
Kuhusu diamond...
Swali: yuko overrated na nani mashabiki,vyombo vya habari,serikali au wasanii wenzake..!?
It's more like Diamond anajua kuji market kwenye vyombo vya habari awe gumzo kila sehemu, hii inatengeneza a snowball effect.

Kuna wanamziki kama Mr. Nice wamepata majina makubwa kwa promo tu. Now Diamond is not Mr. Nice, hata hiyo promo kuipata inabidi uwe na kitu kinachoonekana kwanza, lakini kwa maoni yangu anapata promo zaidi ya stahili yake kimuziki na Ali Kiba amemzidi kimuziki.
 
Kiba sauti anayo ila hakazi!ndio hapo anapoboa
Kukaza au kutokaza sauti si kipimo cha uimbaji.

Kipimo ni unajua vipi kuimiliki. Kuna waimbaji wa kiume wanapata sifa kwa kuimba falsetto. Luciano Pavarotti was an operatic tenor, huwezi kumtaka muimbaji wa tenor akaze sauti kama Buju Banton.

Na hata kwenye Dancehall Mr. Vegas (sauti nyororo) akianza kukaza sauti iwe ngumu kama ya Buju Banton ataharibu style yake.
 
Back
Top Bottom